Naomba kupewa ujuzi kuhusu mabaro ya mitumba

JOSE MKARA

Senior Member
Jun 9, 2018
101
130
Habari wana jamvi

Poleni kwa shughuli nzito ya kujenga taifa

Naomba kujulishwa kuhusiana na mitumba kwa mnyumbuliko huu

Baro la mashati grade 1: a)bei
b)kg
c)piece zinakaa ngapi/
yaani idadi


Pia ya nchi gani ndo ina soko hapa bongo
 
Inategemea inatoka nchi Ganu
Pia inategemea unataka balo la kitu gani
Bei ni tofauti tofauti kuanzia laki 3 Kuendelea
 
Shati grade one
Jeans grade one
Suruali grade one
Sasa unapotaka kununua under ukaulize bei zinatofautiana. Kwa shati 100 bei ni kuanzia laki 6
ila bale zipo kwa uzito tofauti na bei ina range. Uwe na laki tatu kuendelea

ili ununie mzigo poa ununie bale kuanzia laki 6 kuendelea. Mara ya mwisho nilinunua laki 9 na kitambo sana...
 
Habari wana jamvi

Poleni kwa shughuli nzito ya kujenga taifa

Naomba kujulishwa kuhusiana na mitumba kwa mnyumbuliko huu

Baro la mashati grade 1: a)bei
b)kg
c)piece zinakaa ngapi/
yaani idadi


Pia ya nchi gani ndo ina soko hapa bongo
Kitu pekee nachoweza kukuambia ni kuwa wengi wanaouza mabalo hapa Bongo huwa wanayafungua na kutoa nguo nzuri nzuri then kuyafunga tena na kuuza! Labda uagize we mwenyewe nje
 
Back
Top Bottom