Hivi Kuna Alie kamatwa kwa sababu ya kula mchana kipind Cha kwaresma..!!?
Kusema ukweli na kwa maoni yangu binafsi MUUNGANO Uvunjwe kwa na sijui ni kwanini tuna wang'ang'ania hawa jamaa wakati wao hawatupendi..!?
Mkuu hongera umezaa bonge la genius maybe atakuja kubadilisha hii nchi kwa namna fulan Ila ana nyota Kali sanaa jitahidi kimtafutia Kinga za aina mbalimbali
EPUKA MATAPELI..
Demand ya chumvi ni ndogo
Mimi binafsi nikinunuachumvi mifuko miwili Kodi ya nyumba inaisha chumvi bado 😂😂😂😂😂
sasa ndo nimegundua
KULA CHUMVI NYINGI SIO JAMBO RAHISI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.