Nimeona watu wanajaribu kutoa ufafanuzi kwenye mambo wanayosikia kwa watu, mimi nimemaliza chuo mwaka 2017 hapa jijini wakati nipo chuo nilinunua lain za uwakala kwa wakala mkuu wa mitandao yote. Nilivyomaliza nikapiga kambi rasmi na mwamvuli tu barabarani na mtaji wangu wa laki 8 mpaka sasa...
Wajane na watoto wao walilia eneo lao lenye ukubwa wa hekari 2 ambalo limeuzwa kwa Nahla Dev Ltd pamoja na manji. Wajane hao wamesema eneo lao hilo lililopo eneo la Temeke vetenary sokoni karibu na barabara ya port access limeuzwa kwa watu hao kwa gharama ya fedha za kitanzania bilioni 1.9 na...
nimelipia umeme laki tano na elfu 18 nimelipa tayari toka mwezi wa pili na tanesco wameleta nguzo toka tarehe za mwanzo za mwez huu. Tatizo mpaka leo zimepita wik tatu hawajaja kuziweka hizo nguzo ( kufungiwa umeme ) na mim nianze kuzitumia hela nilizolipa .. Naomba uwakumbushe waje kuziweka na...
Mtanzania wa hali ya chini anapata wapi laki 3 na 20 ya service charge ya tanesco na hapo bado hajafanya wiring. Ukiangalia mfuko wako usidhani wote wapo kama wew
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.