Kuna wakati unaweza dhihirisha kwa mteule wako ni kwa kiasi gani alikosea kukuchagua wakati una uwezo mdogo sana wa kufikiri. Kuna matendo unaweza fanya ukajua unamfurahisha aliekuteua kumbe ndio unamfanya aonekane kama ni adui wa afya ya jamii inayoheshimu misingi ya kidemokrasia na utawala wa...
Habari za leo wadau baada ya mihangaiko ya muda mrefu ya namna ya kusafirishaji malighafi kutoka india kuja hapa nyumbani na kukwama ingawa nimeona bidhaa ninayoihitaji ikiwa inauzwa kwa wingi nchini India kupitia.
Naomba kutoka kwenumdau Mwenye ujuzi, uzoefu na uelewa wa kuagiza na kuingiza...
NECTA je hii taarifa ya hili zoezi kufanywa kwa namna ya kampuni kupewa zabuni ni kweli ama la, kwa maana hii taarifa inapelekea kuwa na kizungumkuti katika utekelezaji wa hili zoezi la kuandaa taarifa za hawa watahiniwa wa FTNA na CSEE katika taratibu zilizozoeleka. Na kwa bahati mbaya hii...
Siku kadhaa zilizopita, nilijaribu kutoa ushauri wa bure hapa hapa kwa waziri wa nchi, ofisi ya raisi, menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora juu ya hili zoezi la uhakiki linaloendelea, na ninamkumbusha tena kama uhakiki huu usipochukuliwa kwa umakini basi madhara kama ya haya ya kifo...
Wadau naomba kuwasilisha kama huyu mdau alivyoomba niwasilishe kwenu kwa msaada zaidi
"kuna swali langu nataka unitumie jamii forum nipate majibu. Waandishi wanatofautiana katika uandishi wa HOTUBA na RISALA, haswa katika vipengele vya muundo. Upi ni uandishi sahihi wa HOTUBA na RISALA? Mfano...
Wadau nimeshawishika kununua hiki kifaa kwa ajili ya kuweza kuunganisha simu yangu na TV but nimeona ni vyema kuja kuomba msaada wa ushauri na mawazo kwanza kwenu haswa kwa wenye ujuzi nacho na walio wahi kukutumia ili watujuze ubora wake na mapungufu yake pia, na kama kina mbadala bora kabisa...
Mkuu nilikuwa nahitaji kununua mashine fulani kutoka alibaba....but naona kama nimekwama kwenye suala la usafirishaji maana kwenye calculation zao za kwenye mtandao inaonekana kama vile inakuwa bei ya mashine ni cheap kuliko ya usafirishaji coz mashine yenyewe ni kama $650 but wakifanya...
Hapana sio hii....hii imetengenezwa songwe....ile tuliyoambiwa ni chuo cha ufundi Arusha. Ila wakati mwingine huwa nafurahia sana huu unaoitwa ubunifu wa kiTz, huwa najiuliza sana kama tunaipeleka sayansi hatua mia mbele au tunairudisha hatua 1000 nyuma
Habari za leo wadau......naomba kuwasilisha kwenu na kuomba msaada wa ushauri juu ya microphone nzuri na affordable kwa ajili ya kurusha matangazo ya moja kwa moja i mean kama ya radio za internet. Pia na mahali ninapoweza nunua kwa hapa Tz. Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.