Huyo mzee ***** hana akili naona anataka umaarufu via this skendo ,kwani hii kauli ya kuwa Lulu anamiaka kumi na nane(18) aliitoa mwenyewe katika kipindi mikasi akihojiwa na mjanja wa maswali ya mitego Tanzania Salama J inawezekana unajuwa binti yako atafungwa ndo maana unaweweseka kama nakuona...
We uliyeyoa mada nafikiri unakataka kale kauaji huna jipya na leo kuna mvua kamtafute mkeo utulie au kama vipi kwnn wewe ucwe polisi mpaka unataka kujfnya unajua sheria polisi kama refa akisema goli basi ujue goli kama vipi kavae gwanda wewe
OMG, Kanumba kafariki Duniakama lisaa limoja lililopita
ni kifo cha Ghafla tu, alikuwa nyumbani kwake na LULU wakati kifo kinamkuta....
Pigo kubwa sana kwa Bongo movies .
IM STILL IN SHOCK
KUNA NEWS HUWA NAFURAHIGI KUWA WA KWANZA KUREPORT BUT HII YALEO I STILL WISH NINGEKUWA SIJAAMBIWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.