Habari za muda huu wakuu, ni tumaini langu mko salama. Na mnasongesha gurudumu ili La kila siku ilihali maisha yaenende sawia.
Sipo hapa kuwachosha sana, Mimi nimekuwa ni mpenzi sana na navutiwa sana na hii biashara ya fenesi maana ni tunda ambalo naona linapendwa na watu wengi kama siyo wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.