Kucopy na kupaste!? Huyu simba mwingine anaangalia KUSHOTO na huyo mwingine anaangalia KULIA. Wapi na wapi!Habari wanaJF,
Klabu ya Simba inajinasibu kwa kuzindua Logo au Nembo yao Mpya lakini kama ni ukifuatilia wamecopy na kupaste kutoka kwa wengine.
Je hii haiwezi kwaletea shida kwa janja janja hii?
Pole sana MkuuBora na wewe umewaambia huku jf, nimewaambia fb nimeshambuliwa na wanaojulikana,hiyo alama ya simba copy na kupaste. Log inatofautisha Kati ya timu ya MO na timu ya wanachama. Wanachama nguvu tena, chezea MO wewe. Sijui kama kawashirikisha, wakiitaka timu yao watairudisha log yao ya mwanzo.
Ha ha ha ha HAPANA mimi nilikuwa nazungumzia hiyo "kucopy na kupaste" as concepts. Si lazima hivyo vifanane!? Ndiyo maana kuna wakati mmchinga mmoja alikuja na jezi zinazofanana na za Young Africans Sports Club (YANGA) LAKINI yeye akaziandika Young Africans Football Club. Hapo alicopy na kupaste au alifanya nini!?Ha aha aha haya bwana naona unacomment kwa hisia kali
Kaka walikunyima kazi niniTatizo ujuaji mwingi,hii tu inaweza kutuweka kwenye matatizo.Logo zenye picha ya Simba zipo nyingi duniani,na kila moja inamaana yake,mbaya zaidi hii inaonekana kabisa imesajiliwa...akipatikana mwanasheria wa kuchunguza fursa akawatafuta hawa jamaa akaja na ushahidi imekula kwetu.COSOTA ni mwanachama wa Copywriters Duniani,lengo ni kulinda kazi za ubunifu,lolote linaweza kutokea..100M na kuendelea inawahusu kwa kukwepa 2M ya creative director/designer
Mtakufa kihoro nyie nyani wa mwituni,
Mlitaka waweke Ndala ,chura ,nyani kwenye Logo ya mnyama Simba?
Huyu ndiye shabiki wa mikia tena nadhani hua anashinda kwenye Kahawa kubishana mpira mahana kwa Mtu makini huwezi kuropoka pumba kama hii, kwanza umeona mtoa mada kasema logo inaingia uwanjani?Kwani logo inaingia uwanjani?
😂😂Yanga mnachoweza ni majungu.
Utopolo Lakurunyo
Hiyo logo hakuna chochote kilichofanyika zaidi ya watu kubuni mbinu za kupiga pesa za mo tu .Habari wanaJF,
Klabu ya Simba inajinasibu kwa kuzindua Logo au Nembo yao Mpya lakini kama ni ukifuatilia wamecopy na kupaste kutoka kwa wengine.
Je hii haiwezi kwaletea shida kwa janja janja hii?