Karibu dukani kwetu;Tunauza Urembo aina mbalimbali kwa kina dada na wanawake kwa ujumla;
NB:-Vito havichuniki wala kupauka! Unaweza kuthibitisha kabla ya kulipa;Dar ni free Delivery na mikoan tunatuma pia!!
Mawasiliano:- 0744-786578
Utapata kwa Shilingi 25,000/= kwa set;
-Cheni
-Pete...
Huu ni uzi maalum na mahsusi juu ya kujadili juu ya hawa jamaa wa Kalynda na namna gani wanafanya kazi zao, pia tujuzane kwa namna gani hawa watu ni wakweli... karibu kuchangia chochote unachokijua kuhusu Kalynda E-commerce
Habari wanajamvi ... nna mdogo wangu Matokeo yake ya O-Level ni Div 1 Ya Point 16
B.marth =B
Phy =B
Chem =B
Bios =B
Civ =B
His =C
Geo =C
Kisw =C
Eng =C
Na Advance ni Div 2 ya point 10(PCB)
Phy =D
Chem =D
Bios =B
Swali;Je,unamshauri aombe kozi gani ya Degree au Diploma ambayo hatosombuka kwenye...
Mke wangu ni mhitimu wa diploma ya maabara.
Nataka kumfungulia duka la Kuuza Chemical reagents za hospital na viwandani.
Naomba ushauri wenu taratibu za awali kabla sijafungua
Habari wadau,
Nina mdogo wangu wa kike ameona aombe kusoma open university lakini kutokana na mkanganyiko uliopo inamletea shida ni kozi ipi asomee Kati ya hizo mbili hapo juu na nyengine ya ziada ni Data management.
Naomba tusaidiane kujadili kwa pamoja wanajamvi
Haya kile kilio cha wanahitimu wengi wa PCB kuachwa katika maombi ya chuo... tena wengine wakiwa na ufaulu mzuri kuanzia Div 1 ya point 8,9,.. Div 2 ya point 10,11 na kuendelea sasa kimepata suluhisho ... kutoka na wengi kukosa chuo vyuo TCU wameamua kuongeza udahili wa kozi ya udaktari katika...
Habari za jioni wadau...
Nilikuwa nauliza kwa wale tuliochaguliwa UDSM second round kama mmepata tetesi za admission letter kutoka coz nilipoenda mara ya kwanza waliniambia majina yameenda TCU kuwa approved... yatakaporudi chuoni... na wao watayarelease... sasa muda unakwenda... afu sie wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.