Jazajuan
Senior Member
- Dec 9, 2017
- 147
- 262
Haya kile kilio cha wanahitimu wengi wa PCB kuachwa katika maombi ya chuo... tena wengine wakiwa na ufaulu mzuri kuanzia Div 1 ya point 8,9,.. Div 2 ya point 10,11 na kuendelea sasa kimepata suluhisho ... kutoka na wengi kukosa chuo vyuo TCU wameamua kuongeza udahili wa kozi ya udaktari katika chuo kikuu cha Dar es salaam campus ya Mbeya .. kwa wale mliokosa vyuo ni wakati wenu kuapply sasa tena kukiwa hakuna kabisa competition ya vyuo katika kozi ya udaktari... Hongereni kwa fursa nzuri katika kipindi kizuri.View attachment medicineAnnounce.pdf