Wakati wengine wakiendelea na mfungo wa Ramadhani huku tukizidi kumkimbiza kimya kimya adui wetu mpya "Covid 19"ni vyema tukumbushane mambo kadha wa kadha yahusuyo maisha yetu,
Tangu kuumbwa ama kuwepo kwa misingi ya ulimwengu vimepita vizazi vingi kwenye mataifa mbalimbali,wamepita...
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) na Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto (Mikocheni B Assemblies of God ) Mchungaji Dk. Getrude Lwakatare amefariki dunia Alfajiri ya leo. Mtoto wa amarehemu amethibitisha kifo.
Mtoto wa Marehemu Mama Rwakatare, Mutta Rwakatare amethibitisha kwa kusema
"Ni bahati...
Miaka mingi imepita na siku nazo kusonga tangu Familia ya Mr Spafford aliyeishi huko Chicago Marekani kupatwa na dhoruba na mtikisiko mkubwa na huzuni kuu isiyo na kifani.
Mr Spafford alikuwa Msomi tena mwanasheria mashuhuri wa aina yake huko Chicago America ambaye kwake yeye Utajiri haukucheza...
Habari Wanajamvi! ! Nina imani tunaendelea vyema katika shughuli za uzalishaji Mali, natamani tutumie nafasi mujaraab tuzipatazo kuzidi kuweka udadisi kuhusu suala zima la "Ukomunist"ama " Ujamaa";Wazungu hapa wangeweza kusema Socialism na Communism Theory na hususani jinsi ulivyoshindwa...
Habari Waungwana!! natumai ni wazima na maisha yanaendelea licha ya changamoto za hapa na pale tunazokumbana nazo katika Jamii....
Kuna muda nafikiria Je tujikite kwenye Kujenga Afya au tuendelee kula maisha na Afya ifuate baadae, Nashindwa cha kufanya ila sasa najiuliza tena nifurahishe nafsi...
Sijaelewa mantiki ya Zinedine Zidane kurudi tena kuifundisha Real Madrid.
Kipi kimemsibu Florentino Perez na menejimenti kiujumla??
Yote kwa Yote ilikuwa ni suala la muda jambo hili litimie,Natumai wachezaji na benchi zima la ufundi morali itarudi upya.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.