Search results

  1. C

    CCM na Serikali imewaaminisha wananchi wizi kuwa halali katika mambo yafuatayo

    Kwa hiyo mliataka nani agharamia? au ndio pesa za msaada?....kwani nani kaibiwa?...hizo huduma hao wanatoa hawalipwi mishahara na increment jee zitatoka wapi? Toeni Utopolo hapa.
  2. C

    CCM imejifunika kichwa ili macho yasione wasiyotaka kuyaona

    Kama ni matamasha ya mziki wee kinakuuma nini?? Na nyinyi tafuteni wasanii muwaweke... watanzania hawahitaji kusikia sera za ccm maana wameziona ndio maana tunasema mitano TENA nyie wengine ndio mtangaze sera zenu CCM OYEEE
  3. C

    Wapinzani wanapinga miradi ya Awamu ya Tano na kuwalisha sumu watu kwamba haina maana

    Hii sera ya majimbo ipo kwa ajili ya watu wa nyanda za juu kaskazini...wanataka maendeleo wapate wao tuu maana wao ndio wanaongoza katika sekta ya utalii.....halafu huyo anayesema hataki maendeleo ya vitu yeye huko ulaya alipokuwa anaishi alikuwa anaishi kwenye nyumba ya udongo? au alikuwa...
  4. C

    Uchaguzi 2020 VIDEO: Dkt. Magufuli arejea Makao Makuu ya nchi Dodoma, aserebuka wimbo wa Zuchu mbele ya wananchi

    Namuuona rais alivyo relux siyo kama wagombea wengine wamenuna kama wamelazimishwa kugombea
  5. C

    Nilichokisikia kwenye Press ya leo pale Ufipa nimekata tamaa sana

    Si mmesema lissu atashinda subirini mtakuja na tume yenu.....siku nyingine wasaidieni wagombea wenu kurudisha form
  6. C

    Msajili asaidiwe asiinajisi Ofisi ya Umma. CCM + TLP, CHADEMA + ACT hawajavunja Sheria

    Kwa hiyo unamfunfisha jaji kuhusu sheria waliyoitunga mmeshasema lissu atashinda kwanini mnataka kuungwa mkono na act au hamjiamini
  7. C

    Uchaguzi 2020 CCM si tulisema Magu hahitaji kampeni 2020? Chopa ya nini?

    Tunasherekea mafanikio ya uchumi wa kati
  8. C

    Uchaguzi 2020 Hivi Rais Magufuli kuwaahidi nafasi za uteuzi akina Andrew Chenge, siyo kutonesha kidonda kwa mamilioni ya vijana wasiokuwa na Ajira?

    Sasa ulitaka nani ahaidi ni kweli hata iweje magufuli ndio rais ajaye ana haki ya kuahidi hata asipopata wataelewa
  9. C

    Zanzibar 2020 Njama? Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif awekewa Pingamizi

    Haiwezakani ikawa hiyo ndio hoja toeni hiyo nakala ya pingamizi kutakuwa kuna pingamizi halisi
Back
Top Bottom