Kwa hiyo mliataka nani agharamia? au ndio pesa za msaada?....kwani nani kaibiwa?...hizo huduma hao wanatoa hawalipwi mishahara na increment jee zitatoka wapi? Toeni Utopolo hapa.
Kama ni matamasha ya mziki wee kinakuuma nini?? Na nyinyi tafuteni wasanii muwaweke... watanzania hawahitaji kusikia sera za ccm maana wameziona ndio maana tunasema mitano TENA nyie wengine ndio mtangaze sera zenu
CCM OYEEE
Hii sera ya majimbo ipo kwa ajili ya watu wa nyanda za juu kaskazini...wanataka maendeleo wapate wao tuu maana wao ndio wanaongoza katika sekta ya utalii.....halafu huyo anayesema hataki maendeleo ya vitu yeye huko ulaya alipokuwa anaishi alikuwa anaishi kwenye nyumba ya udongo? au alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.