Ni dhahiri kuwa hujijui kuwa umechoka na amani. Hata makaburu SA walikuwa hivyohivyo. Hicho mnachokitafuta karibu mtakipata.Labda mabomu ya kwenye mitandao
Haya mambo hayakuwepo hapo nyuma ujue mkuuKutwa kucha kutafuta huruma ya watanzania.Na kamwe hamtaipata kwa staili hii.Mnathubutu kuwaita wazee wale ni wahuni,kwa nini mumekubali kuingia kwenye uchaguzi unaoongozwa na wahuni ?
Mkiona watu wanajivika Mabomu msidhani ni wajinga ni kwa sababu ya mambo kama haya, wale wanao vaa mabomu si wajinga, si kwamba hawataki kuishi, ila ndo huwa optional pekee ilio salia,
Kutwa kucha kutafuta huruma ya watanzania.Na kamwe hamtaipata kwa staili hii.Mnathubutu kuwaita wazee wale ni wahuni,kwa nini mumekubali kuingia kwenye uchaguzi unaoongozwa na wahuni ?
Ndo lile kundi pendwa la ccm, kujibishana na wewe ni kupoteza muda kama Robert tu huwezi kuiandikaYaani uwe mjinga mwenyewe ukose mtihani kisha utake haki?
Saidieni watu wenu kwenye mambo ya kisheria.
Mgombea mwenyewe kazarau wanasheria wa chadema akaamua kumuweka Robat Amsterdam badala ya kibatara, kwa hiyo mtajuta tu hakuna namna.
Elimu ya watu wazima irudishwe jamami hapa TZ. Huyu Bi mkubwa hapa anaandika 'FARA ' Maana yake nini ?Yaani, ni zaidi FARA!