infinix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 2,098
- 2,150
Tulitizama TBCCM na tumeona live,jiwe aliambiwa HATUKUTAKII!!!Chadema watu hakuna kwenye mikutano ata nyie wenyewe mnalijua hilo ndio maana kutwa kupost video na picha za ccm.lakini ata hivyo si uwa hamtazami TBCccm leo imekuwaje
Hapo mjini Bukoba.
Jamaa alikuwa ametafuta hela za tetemeko na za rambirambi,ndiyo kisa cha kukataliwa.
Kukataliwa kunaumaaa!!!!