Kinachofanyika sasa ni kuiporomosha demokrasia Na ni uoga wa ccm Na pia uoga wa baadhi ya viongoz Na makada wa mpinzani. Kivipi ni uoga wa ccm ni Kwa sababu wanatumia nguvu kubwa sana kuwarudisha nyuma upinzan Kwa kutumia jeshi la police fursa za uongozi serikali Na mamlaka zote za...
Huwez kumchafua lowasa Kwa vihoja vya kuokoteza Na dhaifu Sana rejea mahojiano yake jana kasema cyo dhambi kuhama chama Na anashangaa kusikia watu wanazusha eti viongoz wa ccm Na serikali wamekatazwa kuja kumtembelea nyumban kwake sasa hayo Maelezo yanamajibu ya maswali yako yote kila propaganda...
Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba ccm ikiiangusha chadema Kwa kuvuna viongoz wake Na wanachama ndyo itatawala milele kwan naamini njia nzur ya kuiangusha chadema ni Kufanya maendeleo ktk nchi kama huduma za jamii ajira miundombinu afya Na elimu kinyume chake ni kwamba wananchi wenyewe wataichoka...
Ni kweli waswahili husema mganga hajigangi sasa ujue mahusiano Na mtu yeyote hayana formula Kwa maana unakutana Na mke wako popote pale kwan nimeshawahi kusikia mwalimu kaolewa Na mwanafunzi wake Na vitu Kama hvyo Na hata ukirudi kwenye miiko yako Ni kwamba huruhusiwi kujiingiza kwenye mahusiano...
Kiukweli Hawa vijana wanaopewa madaraka makubwa wanatuangusha Sana lakin sishangai kauli zake kwan si huyu aliyenusurika Kula kichapo Na kwakuwa mkuu anapenda wajeur ndyo kwanza kampa madaraka makubwa Kama Yule asiye Na vyeti
Lazma tukubali kwamba kuna kitu hakipo sawa kati ya magu Na ndulu ndyo maana leo Kafanya teuzi Na kamwambia ndulu akabidhi ofisi haraka hata Kama mtasema Kama muda wake wa kustaafu umefka basi naamini hakukuwa Na haja ya Kutangaza teuzi haraka haraka Kabla hata hajamaliza muda wake Nafikir...
Kitu nilichokiona Kwa muro Ni kwamba kuna mtu alimwambia kwamba una kipaji cha propaganda uchwara sasa hebu ihamishe hzo propaganda toka kwenye mpira hadi kwenye siasa zitakutoa Na Nafikir maneno hayo anayafanyia kazi kweli kweli sasa kinachotakiwa Na wanachadema kuwa smart zaid yake akileta...
Nakumbuka mkuu aliwapiga biti siku Ile pale terminal 1na akasema watu wanakuja Na private jet toka mikoani bila kukaguliwa sasa Nafikir Hawa wamejiongeza wanakagua abiria wote wanaoingia bila kuzingatia kuwa Hawa walikotoka wamekaguliwa kiukweli Ni usumbufu Na nidhamu za uoga zinatumaliza
Haya maigizo yanazid kutuchosha hakuna jipya hapo Kama mnataka kuleta maendeleo ktk nchi anzeni kwenye katiba pale ndipo nchi inaanza kunyooshwa cyo upuuz wenu huu wa drama
Ni Jambo zuri kuwa Na bus za aina hzo Ila Nafikir shida kubwa ipo kwenye miundombinu kwan nikiangalia Safar ya Lusaka hadi south Africa barabara ni tambarare sikumbuki hata milima zaid Ya hapa Kabla hujaingia chilunda border Na pia ukiingalia hata malori yao semitrailer Ni ndefu sana zaid Ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.