Search results

  1. Tutor B

    From poor radio technician to rich entrepreneur

    Tatizo wengi mnapima mafanikio kwa malipo ya fedha ... sio hivyo ... mafanikio ni zaidi ya hapo
  2. Tutor B

    Mbolea bora na utengenezaji wake ni rahisi pia

    Moja ya changamoto inayowasumbua wakulima wadogo, kati na wakubwa ni upatikanaji wa mbolea bora. Lakini bado hata zile zinazotumika kwa wingi ni zile ambazo mazao yanayopatikana kutokana nazo hayana ubora kimataifa. Ipo haja ya kuanza kuzalisha mbolea bora za asili kutokana na mimea + wanyama...
  3. Tutor B

    Unasubiri nini kupata pesa kwenye chimbo hili

    jongoo bahari ndo kitu gani?
  4. Tutor B

    MABOYA YANAHITAJIKA

    Hamjambo waungwana, maboya ya kuweza ku-uphold mzigo wa kilo 10 kwenye maji fresh yanahitajika. Kama kuna mtu anajua wapi yanapatikana, tafadhali tuwasiliane private au hapa sebureni
  5. Tutor B

    Naomba Kujua Hili Wakuu.

    Hujafanya utafiti vizuri bro ... hata Alibaba ni Mwanaume
  6. Tutor B

    Siri kumi(10) za dunia hizi hapa

    HAKUNA SIRI YOYOTE HAPO ... Kuhusu hiyo ya mbinguni na kuzimu, hayo yote hayapo. Amini kwamba hakuna kufa bal kuna kubadilisha mfumo tu. Sisi ni nishati, na nishati haiwezi kuharibiwa bali tu kubadilishwa.
  7. Tutor B

    Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

    leo ndo nimeanza kufuatilia huu uzi ... endelea kushusha madini
  8. Tutor B

    Tufundisha kwa vitendo - kilimo

    Kilimo bila udongo hapa namaanisha urban farming ambapo unaweza kustawisha mbogamboga bila udongo, hapa unatumia samadi, pumba, ndoo / magunia na maji ... namba 2, hydroponics fodder ni teknolojia ya kuzalisha vyakula vya mifugo kwa kutumia mbegu, virutubisho na maji tu.
  9. Tutor B

    Jifunze kilimo bila udongo

    KWA miaka nenda rudi, kilimo ndiyo kimekuwa uti wa mgongo kwa watu wengi hasa katika nchi zinazoendelea kama Tanzania. Tangu enzi za mababu zetu, kilimo ndiyo kimekuwa njia ya kuhakikisha kaya zinapata mahitaji muhimu, ikiwemo chakula. Kilimo ambacho kimekuwa kikifanyika sana hasa hapa nchini...
  10. Tutor B

    Jifunze kilimo bila udongo

    Elimu ya kilimo bila udongo mbona nimekuwa nikitoa muda mrefu tu jamani? Ok, sorry kwa kupotea muda ... naja na abc
  11. Tutor B

    Ujue mmea wa maajabu Comfrey

    Kumbe kuna mambo msiyoyapenda na mengine mnayapenda?'''
  12. Tutor B

    Ujue mmea wa maajabu Comfrey

    Hii so tumbaku, tumia vizuri bundle ili ujue vitu kwa kuvitofautisha.
  13. Tutor B

    Ujue mmea wa maajabu Comfrey

    Huu mmea ulitoka Urusi na kisambazwa hadi nchi za Ulaya; hapa kwetu waswahili wanauita majina tofauti kulingana na mwonekano wake kwenye majani lakini hakuna jina lake kwa kiswahili. Kuna mtu mmoja miaka ya 90 aliuelezea aiuita KONFURE; Niliutafuta nikaukosa hata kwenye kugoo, lakini nimekuja...
  14. Tutor B

    Hofu inayotawala Mataifa ya Ulaya Dhidi ya Waafrika na Bara lao

    sometimes hata nzige huwa tishio kwa binadamu.
  15. Tutor B

    Ujue mmea wa maajabu Comfrey

    Habarini za majukumu; Niliwahi kuwapeni habari ya mmea unaotwa comfrey ambao unafungua fursa nyingi sana iwapo utautumia kama ambavyo umefanyiwa utafiti. Mmea huu una matumizi mengi na hapa nitakuandika machache ambayo nayajua mimi ... 1. Dawa; Comfrey imetumika kama dawa kwa binadamu kwa ajili...
  16. Tutor B

    Ningependa kupata msaada wa wapi naweza kupata karatasi kwa ajili ya kuprint labels, stickers na flyers

    kARATASI ZINAPATIKANA; SEMA UKO WAPI NA UNAZIPATAJE. 1. ZIKO STICKER PAPERS ZENYE GUNDI 2. ZIKO AMBAZO HAZINA GUNDI BEI INATOFAUTIANA.
  17. Tutor B

    Suluhisho la mbolea ni mmea wa Comfrey

    Tunapatikana Jijini Mwanza; Ofisi za Mwasenda Development Intervention - MDI S. L. P. 1263 Mwanza. Mtaa wa Nyasaka Centre karibu na kituo cha daladala Simu: +255 655 533 543 / +255 754 533 543 / +255 758 000750 Karibu sana.
  18. Tutor B

    Suluhisho la mbolea ni mmea wa Comfrey

    Wakulima, chondechonde, acheni Mara moja kulialia na gharama za mbolea zennye kemikali kupanda Bei, jifunze kuzalisha mbolea ya asili kwa kutumia mmea wa Comfrey na mimea mingine yenye sifa. Sisi tumeanza kuzalisha na tayari wanaotumia mbolea hiyo wanakiri kwamba inaonesha matokeo chanya...
  19. Tutor B

    Ijue bustani ya asili yenye mimea lishe / tiba adhimu.

    Najua mpo mnaopenda kuenzi mambo ya asili, basi pitia hiyo atacchment naamini kuna kitu utajifunza. Kwa ufupi Posh Garden ni sehemu ambapo tunajishughulisha na uoto wa asili na kufanyia kazi tafiti mbalimbali.
Back
Top Bottom