Wanapoangalia hivyo vigezo na kizipa hotel nyota inamaana nyota 1 ni bora kuliko 2 au wana maana gani wanaposema 5 stars hotel au 8?? Naomba mwongozo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawabho kweli umeitendea haki elimu yako asante kwa darasa zuri kwa upande wangu sikuwa naelewa tofauti ya logde,inn, motel zote nilikuwa naona nyumba za wegeni kulingana na pesa yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kula kwa kijiko na usijaze sana weka kiasi kama,,kama ni ugali kata tonge la wastani pia meza kwanza kabla ya kuweka chakula kingine mdomoni.
Kwa habari ya usafi unaishi mwenyewe safisha geto lako kila jmoss au pili unapotoka job.
Alafu hizi ni tabia zinaanza tangu udogoni fundisha na watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.