Kichwa kinaweza kukupoteza within 30 min. Usiombe hii kitu!!Kichwa tu ndio iwe sababu yakulazwa ICU? pole kwake Mungu ampe uzima arudi kulitumikia Taifa na Familia yake
Kichwa kinaweza kukupoteza within 30 min. Usiombe hii kitu!!Kichwa tu ndio iwe sababu yakulazwa ICU? pole kwake Mungu ampe uzima arudi kulitumikia Taifa na Familia yake
Maneno ya mtu mwingine yakuzuie kumfariji mgonjwa ?!. Huna lolote majivuno tu!!Umeanza kutoa taarifa vizuri lakini mwisho umeonyesha jinsi ulivyo kiakili na uwezo wako wa kufikisha habari kwa jamii.
Habari yote imeharibiwa na maneno yako ya mwisho ya kipuuzi,nipo muhimbili nilitaka kujuwa yuko wapi lkn kwa upuuzi wa maneno yako ya mwisho umesababisha mwanajukwaa huyo kwa leo kukosa ugeni wenye faraja sana kutoka kwangu,nageuza niondoke zangu.
Nimecheka sana ulivyoniita Kijana acha JF idumuTumia google wacha uvivu kijana...
Amelazwa ICU kwenye Jengo la MwaiselaUmeanza kutoa taarifa vizuri lakini mwisho umeonyesha jinsi ulivyo kiakili na uwezo wako wa kufikisha habari kwa jamii.
Habari yote imeharibiwa na maneno yako ya mwisho ya kipuuzi,nipo muhimbili nilitaka kujuwa yuko wapi lkn kwa upuuzi wa maneno yako ya mwisho umesababisha mwanajukwaa huyo kwa leo kukosa ugeni wenye faraja sana kutoka kwangu,nageuza niondoke zangu.
Shukrani Mkuu kwa hiiKichwa kinaweza kukupoteza within 30 min. Usiombe hii kitu!!
Kama mm pia sipendagiHii kutaja taja icu sipendagi
Kwani nae aliwafanya nini?Wanatumia njia ambayo haitaacha maswali kwenye jamii
Umetafsiri kulingana na ulivyo elewaKwani nae aliwafanya nini?
Sasa si ndio jina lakeHii kutaja taja icu sipendagi
Sahihi kabisa mara nyingi zinarudigi na matokea ASI...Hii kutaja taja icu sipendagi
Ubora wa ubongo unatofautiana sanaHebu kasafishe hako kauchafu kako huenda akili ikakujia
Mchawi si lazima aruke na ungo, wewe umekosa vitendea kazi tu lakini ni mchawi kamili.Bado tu?