Ujielewi, usihukumu wenzako, mimi wakati nasoma nilikuwa najitafutia ada mwenyewe mwanzo mwisho, hata hela ya kula ilikuwa shida, ila hakuna mtu aliyejua hata ma best zangu, sikupata sup, ila mtu akipata sup siwezi hata kum judge, Mungu ndiyo anayejua.
Kama mambo yako yamenyoka usizarau...
KATIKA WATU WENYE WIVU WEWE SI MMOJA WAPO, NILITEGEMEA KUSIKIA UMEMPIGA SABABU YA WIVU ETC, HAYO MASWALI ULIYOMUULIZA KILA MWANAMKE ANAPASWA KUYAJIBU. HAJAWAHI KUKUPENDA HUYO, SHIDA ZAKE ZILIKUA ZAMFANYA MVUMILIVU, ILA WEWE UNA MPENDA.
UMESEMA HALI YAKE YA FEDHA KWA SASA SI NZURI, OKAY, OKAY...
Unamshukuru Mungu kwamba walikuwa waungwana kukulea maana Baba na Mama yako wa damu pengine walifariki au hawakuwa kwenye nafasi ya kukusomesha, unawashukuru tena kwamba hawakukwambia kwa sababu ungeanza kufikiri unanyanyaswa maana wewe sio wa hapo, halafu unaongea na mke wako, mnaenda Bank...
Watu wowote wanaoonekana life style yao ni kama usalama wa Taifa kabla hawajawa, hawapaswi kuwa usalama wa Taifa, halafu sio kazi ya kutamani au kujipendekeza, endelea tu na shughuli nyingine za maisha.
Ubongo wako mzito sana, nikupe mfano, inawezekana umeachiwa nyumba ya urithi, sawa, ila kila siku twakuona Bar unakunywa, bila kazi, kumbe mwenzetu umeenda CRDB umeacha hati ya nyumba umechukua mkopo, Hauna pesa ila maisha ya bar yanaendelea, sasa swali lako ni sawa na, UNAENDELEAJE KWENDA BAR...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.