Huwa najiuliza hivi wanawake mna roho gani...nilikua naangalia mitandaoni kufuatilia kesi ya Lulu...
Picha moja inaonesha Mama Kanumba anafurahi Mama Lulu Amalia
Nikaja kugundua wanawake hawapendi habari nzuri ya mtu mwingine ndio sababu ya UMBEA
Nikarudi nyuma nakupata picha ambayo humfanyia...
Wengi hawajacoment kwa sababu ya guilty
Wahanga wa kushiriki zinaa kwa mda mrefu ni victims wa huu mchezo ...no wonder inafanya ndoa zinayumba kwa sababu za kijinga za kuchepuka kama hizi
Matokeo imeleta laana na balaa kama UKIMWI na umasikini katika familia na ndoa kuvunjika
Kiafya sio nzuri...
Mungu hasemi kuwa atawaangamiza kizazi cha NNE na cha tatu,Anaelezea ukubwa/magnitude ya hasira yake kwa dhambi iliyotajwa hapo juu kwa watakao mkosea...sawa na kusema kuwa mzazi anakuadhibu anakuambia na Leo ntamalizia hasira yangu yote na ya makosa ya nyuma
Rej pia Yoh 9:1-3
Mungu sio asiye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.