Wewe unashindwa kutofautisha shida binafsi ya mtu na shida inayoikumba nchi. Tz haijatangaza baa la njaa. Kuwepo kwa baadhi ya watu wenye uhitaji wa chakula haihalalishi kuomba msaada wa chakula kutoka nje. Hii nchi si kame. Kusaidiwa basic need kama chakula inaleta taswira mbaya sana. Sijasikia...
Nyie wenyewe kazi kulalamika tu hakuna mnachokifanya. Mkimaliza kuandika nyuzi kama hizi mnarudi kuchezea simu na mitandao na kuwaaminisha watoto ujinga. So tusemaje kuhusu blacks ambao ni key players kwenye field zao? Dk Ben? Martin Luther King? Wao walikuwa na vinasaba gani? Ni vitu...
Nimeshalogwa na async ... await . Sipendelei kuandika chain za promise.
Kuhusu uliloongea hilo ni kweli kabisa. Kuna dev mmoja alisema yeye alianza kusoma Node.js kabla ya JavaScript.
Habari na poleni na majukumu wanajukwaa,
Hivi karibuni nimekuwa nikijihusisha na kutengeneza web applications zinazojumuisha maswala ya malipo. Kwa kipindi hicho chote, nilikuwa natumia APIs za Stripe. Kama mnavyojua, Stripe ni ya nchi za magharibi hivyo ukiwa nchi zetu hizi mara nyingi utaweza...
Ongea mambo ambayo una uhakika nayo. Utaona unafurahisha watu ila kwa wengine unajidhihirisha jinsi gani ulivyo kichwani. Haya tuambie chuo gani ulienda hicho ukakuta wanafanya hivyo.
Miaka hiyo ya nyuma kama ni kutocheza vizuri, unaona ni timu moja au mbili ila nyingine kubwa zinacheza mpira. Ila mwaka huu wakubwa wote naona kama wanachechemea. Labda tuone gemu zinazofuata.
Ila hoja ya masilahi natofautiana na wewe. Huku national team huwa ni posho tu na huwa hawachukulii...
Bado unashangaa ushoga nchi za magharibi? Kwao ni kawaida sana. Mtu anajitangaza yupo hivyo toka high school, kuolewa akiwa anaelekea 40 sio habari tena. Cha kufanya chukua kwao kinachokufaa, kisha mambo yao waachie wenyewe. Maana usipofanya hivyo ni utashangazwa kila siku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.