natumahi humu wote niwazima…!! Naswali kidogo. Eti napotaka kununua Pc nzuri naangalia nini..??
1) Processor
2)core i1,i2………
3)Generation
4)ukubwa wa Ram
5)inayotumia HHD au SSD
Nina shida na window ambayo haina shida Maana nahangaikia Window mwezi wasita huu.
Jana kuna Window nimepata ila nikiconnect wifi PC inajizima, pia kila software nayo download inagoma kufunguka au inaweza kufunguka ila ukizima.
PC ukiwasha ishaliwa yaani Nimateso na Antivirus nikifunga bado...
wazima wa afya ndugu zangu..?
nihitaji msaada.. ninasimu ya Nokia TA 1034 kunawatotot wameichezea sasa imeingia security code nilikuwa naomba mnisaidie jinsi yakuzitoa au jinsi yakuflash kabisa
Wakuu naombeni kujua jinsi yakuingiza game za ps2 kwenye android yenye ppsspp bila kuzidownload.... Kwakutumia USB cable
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashauri ma it watanzania wafatilie kuhusu issue yakutengeneza katuni ambazo zakitanzania kama za Tom and Jerry au ben10 kama kuna anaejua anijuze napenda Sana nijue tuwasiliane 0692283829
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.