bibie..wewe juzi si ndio umekuja na mfano picha wa aina ya mwanaume anayekuvutia?....vigezo vyote alivyokua navyo leo hii unavichukia tena?!?..yamekuwa hayo?!...hizi pilau za christmas hizi!!!!
Weka picha ya kijana anaevutia
Thread by: Dinazarde, Dec 11, 2016, 253 replies, in forum: JF Chit-Chat
sikusema inahusiana bali nilimaanisha kwa kuona ''her'' ungetambua jinsia yangu....Anyway,naweza tambua pengine swali limetokana na mtazamo wako uliokuwa nao awali juu yangu....kuwa na amani
mada ipo tangu jana lakini kasi yake si ya kuridhisha(sielewi kwa nini imekuwa hivyo)....sasa mpaka nisubiri mada ya Melo ije si inaweza kuwa mwakani?!...by the way..nilichomekea tu baada ya mdau mmoja kuileta...
nimejaribu kufuatilia humu nione kama ina uhusiano zaidi dini ama muingiliano na jamii ya kiarabu,sijapata jibu...I believe it has more to do with muingiliano na jamii za kiarabu (ambao wengi wao ni waislamu)....
Kumfukuza ni jambo moja(ambalo sina tatizo nalo)..appraoch aliyotumia ni jambo lingine (ambayo binafsi siiungi mkono)...
wakati mwingine maamuzi yanayoambatana na hasira hata kama una hoja ya msingi yanaweza yasiwe mazuri(during and aftermath)
Zingatia story ni ya upande mmoja,pengine ukipata upande wa pili unaweza kuta zipo sababu ama chanzo cha msingi kinachoweza mfanya mleta mada naye kuwa sehemu ya tatizo.Approach yake katika kumfukuza mdogo wake haikuwa nzuri.
pole...anaweza akawa member wa JF..UJUMBE UTAKUWA UMEMFIKIA..Ila ungepunguza maamuzi ya hasira...Ungetumia ustaarabu katika uamuzi uliofikia ili dhamira imsute hata huko mbeleni..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.