Natuain nyoye jamii ya forum mnaendela vyema...Mimi mdogo wenu kesho nakuja mbeya bonde la kilyamatundu natokea Shinyanga. Ila sina ndugu wala mwenyeji wa kufikia hivyo naomba yeyote atakayeguswa kunipatia hifadhi ya siku mbili nikiwa natafuta chumba na kunipa abc za mji huo...Lengo ni kuzamia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.