Ronzobe B29
JF-Expert Member
- Jul 8, 2017
- 242
- 89
Natuain nyoye jamii ya forum mnaendela vyema...Mimi mdogo wenu kesho nakuja mbeya bonde la kilyamatundu natokea Shinyanga. Ila sina ndugu wala mwenyeji wa kufikia hivyo naomba yeyote atakayeguswa kunipatia hifadhi ya siku mbili nikiwa natafuta chumba na kunipa abc za mji huo...Lengo ni kuzamia huko na nina kamtaji kadog sana tulaki hivi. naamin jamii forum ni familia kubwa sana na mungu atakubariki/wabariki
#mungu ndio kionggozi, mlinzi na mpaji wetu
#mungu ndio kionggozi, mlinzi na mpaji wetu