fatmanuria
JF-Expert Member
- Aug 26, 2017
- 439
- 695
....labda ila inahitajika jitihada kubwa Sana..
[/QUO
Nadhani kocha atakua ameona madhaifu ya kikosi chake ataweka sawa ili tupate matokeo mazur mechi zijazo
....labda ila inahitajika jitihada kubwa Sana..
[/QUO
Nadhani kocha atakua ameona madhaifu ya kikosi chake ataweka sawa ili tupate matokeo mazur mechi zijazo
Tutawafunga Algeria na Kenya..itatosha kusonga mbele
hii nimeichukua hii...asee kuna watu ni wehuKila nikitaka
Kuiombea
Taifa starz
Ipate matokeo kwa
Senegal,,
Kuna sauti ya
Roho mtakatifu
Inaniambia
"Usimjaribu bwana
Mungu wako"
hahaaaaaaaTimu ya jiwe imekutana na timu ya manyundo ya kupondea mawe sijui nani atakua zaidi. Acha anye tu haina namna.
Gueye vs Fei Toto,vita Kali pale kati je nan ataibuka mbabe...kauli ya mchambuzi uchwara fulani hivi wakibongoEti Fei Toto asimame kwenye kiungo na GANA anayesimama na kina Kante na Pogba akiwa Everton!
waitwe KIMBOKA STARStaifa stars ibadilishwe jina jina linalofaa huruma
Tukijithidi labda tupate sare dhidi ya Kenya! ila magoli yako pale pale! Sisi kinacho tuangusha ni kicha Amunike! Tangu akabidhiwe timu, hana kikosi cha kwanza! Atakavyo amka siku hiyo, ndivyo atakavyo ipanga timu! Tofauti kabisa na timu nyingine mafano Uganda!
Na huyu Hassan jezi no 22 mgongoni anacheza team gani hapa bongo. Anacheza vizuri sana yupo kila mahali.Yanga huyo
Huyo anacheza nje mkuuNa huyu Hassan jezi no 22 mgongoni anacheza team gani hapa bongo. Anacheza vizuri sana yupo kila mahali.