Habari wakuu mimi nilitapeliwa kiasi cha sh laki 9 na rafiki yangu kwa kivuli cha mchezo feki kesi ikaenda mahakamani baada ya kushindwa kumalizana kifamilia akafungulia shtaka la kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu mahakama ikamkuta na hatia na kumuhukumu kifungo cha nje cha mienzi miwili na...
Baada ya biashara ya utumwa kukomeshwa barani Afrika kwa muda mrefu sana nchini Tanzania kumekuwa na utumwa ndani ya siasa zetu za upinzani kitu kinachofanya kuwa ni ngumu kwa upinzani kutoa upinzani wa mawazo mbadala,sera na hoja baada yake kuwa ndumi la kuwili ili kuwanufaisha wachache ambao...
huu ni upuuzi uliopitiliza umesikia sisi tunashida na maandamano embu rudi jimboni kwako kwanza then toa matumizi ya ruzuku ambayo ni pesa yetu watanzania mwisho tambua hujachaguliwa ili kuhamasisha uvunjifu wa amani naamini dodoma mtapata tabu sana
Habari wakuu,
Sisi wakazi wa sinza tumesema kwa nguvu moja tumekoma tena tumekoma zaidi ya tulivyokoma manyonyo ya mama zetu kuwapa ridhaa ya uongozi CHADEMA ambao hawajali waliowachagua ambao hawajali walipigwa na jua katika foleni kuwapa ridhaa wawatumikie ambao waliwapa ahadi kedekede...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.