Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Badilika wewe !!. Kama Cdm wanakunyima usingizi usione haya kurudi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Badilika wewe !!. Kama Cdm wanakunyima usingizi usione haya kurudi .
Akili mbovu! Ujauzito wa mawazoNdugu zangu,
Hamkani si shwari tena, kwajinsi CHADEMA walivyojitenga na maandamano yaliyoratibiwa na chama cha ACT ''kupinga azimio la bunge dhidi ya CAG'' ni dhahiri wameamua kuungana na CCM dhidi ya ACT kama jinsi taarifa za siri zilivyoletwa na uzi huu. https://www.jamiiforums.com/threads/imevuja-wajumbe-kamati-kuu-chadema-wakubali-hoja-za-mbowe-kutoshirikiana-na-act.1566960/
Japo habari hizi zikililetwa badala ya kupingwa kwa hoja wafuasi wa Chadema ambao kimsingi wanajua kinachoendelea wanafurusha matusi na kejeli.
Ni kwanini Chadema wamejiweka kando na maandamano yanayoratibiwa na ACT wazalendo? ile ahadi ya upinzani kuungana kwenye ''masuala ya kitaifa'' iko wapi? Bavicha na Mbowe mbona wamenyamaza kimya huku Zitto akipambana na hali yake?
Ikimbukwe hadi sasa licha ya kamati kuu Chadema kukaa hivi siku za karibuni hawajawahi kutoa tamko la wazi kama watashirikiana na ACT au sivyo. Habari za uhakika ni kuwa Mbowe amekuwa na kigugumizi kumshirikisha Zittokwenye ''baraza la mawaziri vivuli'' analotarajia kuliunda upya. Habari za chinichini zinasema Mbowe inabidi tu avunge kumshirikisha Zitto katika baraza la mawaziri vivuli ili kuondoa ombwe lililopo kwa sasa.
Nimalize tu kwa kusema, kwa hili la maandamano yaliyoratibiwa na ACT kuhusu azimio la Bunge dhidi ya CAG, Chadema wameamua ''kuungana'' na CCM ili kuidhoofisha ACT inayoonekana kuwa na fursa ya kudhibiti kambi ya upinzani bungeni baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Ha haaaa mi nakuchokoza tu naona rahaaBasi pole...tafuta dawa. .haiji kufa..tumejipanga sana
hapa ni JF acha udikteta wako kamanda.Badilika wewe !!. Kama Cdm wanakunyima usingizi usione haya kurudi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kwa maumivu kamanda.Akili mbovu! Ujauzito wa mawazo
Ha haaaa mi nakuchokoza tu naona rahaa
Ukachakazwe salamaHahahhaa najua sana...maan ww nakuonaga pro ccm kbs unaniumizaga sana mtoto mdg kujifukia ccm...nakaribia dom kwenye maandamano
Kwa mtazamo wangu watu kama huyu mwandishi huwa hawana nia njema na vyama vya upinzani.Ndugu zangu,
Hamkani si shwari tena, kwajinsi CHADEMA walivyojitenga na maandamano yaliyoratibiwa na chama cha ACT ''kupinga azimio la bunge dhidi ya CAG'' ni dhahiri wameamua kuungana na CCM dhidi ya ACT kama jinsi taarifa za siri zilivyoletwa na uzi huu. https://www.jamiiforums.com/threads/imevuja-wajumbe-kamati-kuu-chadema-wakubali-hoja-za-mbowe-kutoshirikiana-na-act.1566960/
Japo habari hizi zikililetwa badala ya kupingwa kwa hoja wafuasi wa Chadema ambao kimsingi wanajua kinachoendelea wanafurusha matusi na kejeli.
Ni kwanini Chadema wamejiweka kando na maandamano yanayoratibiwa na ACT wazalendo? ile ahadi ya upinzani kuungana kwenye ''masuala ya kitaifa'' iko wapi? Bavicha na Mbowe mbona wamenyamaza kimya huku Zitto akipambana na hali yake?
Ikimbukwe hadi sasa licha ya kamati kuu Chadema kukaa hivi siku za karibuni hawajawahi kutoa tamko la wazi kama watashirikiana na ACT au sivyo. Habari za uhakika ni kuwa Mbowe amekuwa na kigugumizi kumshirikisha Zittokwenye ''baraza la mawaziri vivuli'' analotarajia kuliunda upya. Habari za chinichini zinasema Mbowe inabidi tu avunge kumshirikisha Zitto katika baraza la mawaziri vivuli ili kuondoa ombwe lililopo kwa sasa.
Nimalize tu kwa kusema, kwa hili la maandamano yaliyoratibiwa na ACT kuhusu azimio la Bunge dhidi ya CAG, Chadema wameamua ''kuungana'' na CCM ili kuidhoofisha ACT inayoonekana kuwa na fursa ya kudhibiti kambi ya upinzani bungeni baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Sio kila bango la kubeba JK kwenye mbayuwayu alishamaliza mimi nipo zangu nimechakaa hapaPole kwa maumivu kamanda.
Na badongoja nifike ntapiga selfie..tumechoka
😂😂😂Na bado
Huna hoja wewe unaleta umbea tu hapa.kamanda jielekeze kwenye hoja.
Kamanda hapa ni JFMbona ninyi ccm ndio mnaohangaika sana juu ya vyama vingine? Tangu lini ninyi mkawa washauri wa vyama vya upinzani??
Washirikiane wasishirikiane ninyi linawahusu nn??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona ni wa kitoto?!...2019 hii tumieni Vifaru.
Jikite kwenye Mara dadaMsaidieni mwanri kuomba ili kamungu kenu kashuke kimshukuru magufuli.
nililiandika hili jana nashangaa mods wakafuta uzi wanguNdugu zangu,
Hamkani si shwari tena, kwajinsi CHADEMA walivyojitenga na maandamano yaliyoratibiwa na chama cha ACT ''kupinga azimio la bunge dhidi ya CAG'' ni dhahiri wameamua kuungana na CCM dhidi ya ACT kama jinsi taarifa za siri zilivyoletwa na uzi huu. https://www.jamiiforums.com/threads/imevuja-wajumbe-kamati-kuu-chadema-wakubali-hoja-za-mbowe-kutoshirikiana-na-act.1566960/
Japo habari hizi zikililetwa badala ya kupingwa kwa hoja wafuasi wa Chadema ambao kimsingi wanajua kinachoendelea wanafurusha matusi na kejeli.
Ni kwanini Chadema wamejiweka kando na maandamano yanayoratibiwa na ACT wazalendo? ile ahadi ya upinzani kuungana kwenye ''masuala ya kitaifa'' iko wapi? Bavicha na Mbowe mbona wamenyamaza kimya huku Zitto akipambana na hali yake?
Ikimbukwe hadi sasa licha ya kamati kuu Chadema kukaa hivi siku za karibuni hawajawahi kutoa tamko la wazi kama watashirikiana na ACT au sivyo. Habari za uhakika ni kuwa Mbowe amekuwa na kigugumizi kumshirikisha Zittokwenye ''baraza la mawaziri vivuli'' analotarajia kuliunda upya. Habari za chinichini zinasema Mbowe inabidi tu avunge kumshirikisha Zitto katika baraza la mawaziri vivuli ili kuondoa ombwe lililopo kwa sasa.
Nimalize tu kwa kusema, kwa hili la maandamano yaliyoratibiwa na ACT kuhusu azimio la Bunge dhidi ya CAG, Chadema wameamua ''kuungana'' na CCM ili kuidhoofisha ACT inayoonekana kuwa na fursa ya kudhibiti kambi ya upinzani bungeni baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.