Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Naona wale tunaowaita 'mabeberu' wanafanya kazi yao ya kuweka ukweli wazi na mkuu anaona 'ukweli' si muafaka kisiasa. Nchi sasa inanyooshwa na 'mabeberu', mkuu hataki. Tanzania ina bahati mbaya sana awamu hii!