Natumai ndugu zangu ni wazima wa afya,poleni na majukumu ya kila siku.
Hivi karibuni timu yetu ya Taifa imetoka katika Mashindano ya AFCON ambapo kila MTanzania ameguswa na kufanya vibaya kwa timu yetu ya Taifa .
Hii imepelekea Kufukuzwa kwa kocha mkuu.
Swali langu ,Je kufukuzwa kwa kocha mkuu...
Oya unachukia hata utani umeamua kute ngeneza adi uzi duh! Ila utani wa kwenye media sio mzuri kabisa.
" wawili wameoa ila Kuna mmoja kaolewa"
Mbaya sana
Ndio hatuta shiriki tena Miaka 50 ijayo.Ngoya tusubiri tuone wabunge walienda kufanya nn misri.Hapo ndo tutajua ,Hiii nchi tunasafari ndefu sana.
Sijapata kucheza mpira katika ngazi ya ligi kuu ila nimecheza mpira katika academy (FOYSA) Pale Mbeya na ngaz ya wilaya so idea ya mpira ipo.
Swali...
Kwan unauza soda tu , kuna bidhaa Zaid ya 100 so kila bidhaa ikikupa ~250 una 25000 kwa siku cha msingi ni kujitaid kuweka bidhaa nyingi zaid ili mteja akija aruki
Wanawake wa kuoa wapo Ila tatizo unataka wanawake wa mlimani city,ambao unakuta tiyari ampendeza ,baba hao wapo kimaslai zaidi unakuta mpaka ampendeza vile ni investment kafanya kuvutia ww na ukatoa pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijalibu kukaa na mwanamke mwezi mmoja tu dah! Kiukwel nilikonda
1.kodi ya meza kila asubuhi msimbazi ,kibato hakikidhi
2.SAA 2 niwe ndani ,kiukwel sio kuku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.