Habari wanamichezo wenzangu wa kabumba, sitaki poteza muda naomba TFF itoe maelezo kuhusiana na mchezaji wa Young African ambaye hakutimiza vigezo kwenye mfumo wa usajili.
Imtaje Nina kamili la mchezaji husika, aangaliwe amecheza mechi Gani? Nasheria zinasemaje kuhusiana na kosa hilo? na adhabu...
Tanzania umbea kwetu ni laana au baraka Kwa mungu????, Tuthibitisha Kwa vivid documents ???? Hivi kweli inakuja akili I atoe Hela mwenyewe halafu ajiibie yeye tenaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.