Fanya ujinga Wote ktk Maisha yako, lakini sio kuwaeleza Polisi Taarifa ya Muarifu, Polisi WATANZANIA Ni Waajabu, Wakimpata mwalifu wanamwambia ukweli Wote kua we ndo umechomeshwa mpaka akamatwe.
Pia kutoa ushirikiano kwa Polisi Ni kujitafutia shida.
Katika Dunia, kuna mengi ila mume/mke ulie nae, unaeza kuta katika ukweli wa ndani wa moyo wake wala wewe ulie nae sio chaguo lake, ila yuko na wewe ili mladi tu maisha yaende.
Yaani unaeza kuta mwanaume/mwanamke yuko katika uhusiano lakini hisia zake na upendo wake wa dhati uko kwa mwingine...
Kwa Mtazamo wangu, Tafuta mtu wa kufanya nae mapenzi Ila sio mtu wa kuoa/Kuolewa au kuwekeza Hisia zako kwa kiwango kikubwa.
Binadamu Ni kiumbe hatari Sana, pia tuondoe matarajio yaloliopitiriza, Kama unaitaji Mtoto Ni Bora kue tu mkataba wa kuzaa kila mtu ashike 50 Zake, Hika Swala la ndoa...
Umetisha sana, Ila Sasa mi huwa nawazaga mbali kwa Sisi tusiojua lolote, Maana mi hata mgambo Sijawai kwenda, Kwenda mstarini Shule ya msingi nilikua nao usumbufu mtupu.
Haya Mambo ya Jeshi ndo sijui Chochote. Naona Yuniform za Jeshi, na sign/ wanazovaa mabegani sijui Hata maana yake... Hilo...
Hawa watu wanaofanya kazi ktk hizo sekta Mara kwa Mara huwa nakutana nao.
Ila kinachonishangaza kwao, kwa pesa wanazopata ukiondoa mishahara wanayolipwa hawa jamaa, wanapata pesa nyingi sana.
Sasa maendeleo Yao na Pesa wanazopata haviendani, pia usiombe ukutanenao ukiwa na mzigo, kweli...
Hii Kawaida Sana, % kubwa ya Wanawake walio katika ndoa bado Wana mawasiliano na X wao, au ndugu wa X wake. Hili Jambo nimelisikia Mara Nyingi kwa Watu.
Mpaka Hapa Ofisini kwangu, kijana wangu mmoja aliwaikusema. Pia mi Hilo Jambo limenikuta Mwaka Jana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.