Wakuu salamu kwenu.
Naandika uzi huu kifua kikiwaka moto kwa hasira.
Iko hivi nina mke mwajiriwa, tumefunga ndoa na tuna watoto.
Ni muda sasa tunaishi mbalimbali kiasi kutokana na inshu za kikazi. Ila siku za nyuma nilikua na utaratibu wa kutembelea familia (mke na watoto) na kupeana haki...
Wakuu salam kwenu
Poleni kwa Covid-19
Ngoja niwape mkasa niliona nao kwa sasa
Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 niliingia kwenye mahusiano na binti fulani ambaye kwa sasa ana miaka 19
Nimetoka na huyu binti tangu mwaka Jana hadi sasa ,ni mwanachuo ila kwa sasa keshamaliza yupo field
Sasa hivi...
Sifa zake:-
Kimepimwa
Ukubwa ni 20*24
Kipo hatua chache kutoka barabara kuu ya kuelekea mtaa wa kahama
Huduma ya maji na umeme vipo jirani tu
Kina msingi wa chumba 2 sebule,choo na bafu
Kuna mchanga pia
Hatua chache kutoka ofisi za manispaa ya Ilemela na ofisi za halmashauri ya wilaya Ilemela...
Kama mada inavyojieleza
Nlipata furaha sana baada ya kupata kazi shule flani private
Japo salary sio kubwa sana ila kwa kiasi flani nliona itanivuta vuta
Daaah ghafla nakutana na mlolongo wa makato ikiwemo 15% ya bodi
Sawa degree ya kwanza nliisoma kwa mkopo lakini sijapata ajira ya hiyo...
Salaam wana uchumi
Nina gunia zangu 10 za mahindi mkoani kigoma,nataka kuziuza wale wenye uzoefu wa biashara ya mazao mnijuze bei zimekaaje kwa wakati huu
Asanteni
Amani iwe nanyi wanaJF
Nimeishi Morogoro kwa miaka mi3 enzi hizo nasoma chuo kikuu Sokoine(SUA) miaka ile nikiri tu kwamba hali ya hewa ya morogoro mjini ilikua safi sana
Hivi majuzi nimerudi tena Moro na ntakuwepo hapa kwa miezi kadhaa
Kiukweli hali ya hewa ya sasa ya morogoro haina...
Wanajamvi salama,
Hivi kwanini kina mama wengi ambao wanamiliki nyumba huwa wana roho mbaya, gubu na wabinafsi sana tofauti na kina baba.
Unapanga kwake unamlipa kodi tena anakupangishia chumba cha nje humkeri kwa chochote lakini yeye anaamua tu kukubwatukia.
Wamama shida ni nini mbona...
Nadhani wote mnafahamu kitu kinaitwa 'FATUMA' hili ni jiwe kubwa linalotumiwa na wezi,vibaka na majambazi kubomolea milango ya watu na kuiba Mali mbalimbali
Sasa kimsingi huo huyu kiongozi anaejiita 'JIWE' Mimi namfananisha na lile jiwe 'FATUMA' matendo yake dhidi ya wananchi ni kama yale...
Salaam wa MMU
Kuna kauli nimeambiwa na mzazi mwenzangu imenifanya niwaze Mara 2 2
Okey ngoja niende kwenye point
Mimi naishi mbali na mzazi mwenzangu japo mikoa ni ya karibu karibu. Mimi napiga mishe mishe tu za town na kupata hela ya kula na kuishi mjini
Mama mtoto wangu yeye ni mwajiriwa na...
Salaam wakuu
Mada yahusika
Mara nyingi tumesikia kwamba wadada wengi wanaovaa cheni mguuni/ kuku ni kiashiria kwamba wanaliwa nyuma a.k.a tiGo a.k.a Kusukumwa tope
Sasa katika mjadala flani nliona wadau wanasema Bora anaevaa kikuku kuliko Yule mdada anaetoboa sikio tundu zaidi ya moja na kuvaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.