Vyama vya upinzani Tanzania kiukweli vimelala sana , vimeacha kutetea haki na maslahi ya watu wanyonge kama vile:
.Ajira kwa vijana
.Ongezeko la mishahara kwa watumishi wa umma.
.Mikopo ya wanafunzi vyuo vikuu
Wao wapo tu wanatu hadaa wananchi , kwa hali hii ya wapinzani wa Tanzania walivyo bora...
Jamani hivi inawezekanaje serikali inawaambia watu watume maombi ya kazi halafu hawatoi?
vijana tulituma application Dodoma mwezi wa 8 lakini hadi saizi mwezi wa 12 hamna kitu, tunaiomba serikali kupitia kwa wizara husika itoe ajir za walimu walio omba mwezi wa 8.
Jamani habari za muda huu?
Naiomba Wizara ya Elimu watuambie basi lini watatoa ajira za walimu walizotangaza nafasi zake mwezi wa 8. Vijana tunazisubiri sana tunaomba wizara husika itufikirie.
BORA WATOE MAJINA ELIGIBLE ILI WENGINE TUJUE NINI CHA KUFANYA.
Kwani hata kama nafasi zilikuwa...
Naombeni mnijulishe kama kuna sehemu wanahitaji mwl wa economics & geography mwenzenu huku mambo magumu jaman , ninaombeni mnisaidie nipate ajira na mimi angalau niweze kumudu changamoto za maisha .Email yangu ni yusuphalexanda@gmail.Com
Naombeni mwenye nia ya dhati anisaidie.
Mh; Raisi napenda kutoa pongezi nyingi kwako , kwa kurejesha nidhamu ya kazi , kuboresha elimu , huduma za afya na kuendelea kuimalisha uchumi wa Tanzania.
Hongera sana raisi wetu vijana wengi tuko nyuma yako tunakusuport na wala hatuta kuangusha katika harakati za kuikomboa Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.