Search results

  1. Emmaloy

    Tumeamua Kutubu

    Love is a beautiful thing we must not take it for granted. Tokea kipindi tumeanza kujitambua kwa jinsia zetu wote tumepitia mambo mengi sana katika mahusiano. Na kwa vile hatujui ni lini pumzi yetu itafika mwisho basi ni vyema tukatenga muda kwa ajili ya kuomba msamaha na kutubu kutokana na...
  2. Emmaloy

    Tumeamua Kutubu

    Love is a beautiful thing we must not take it for granted. Tokea kipindi tumeanza kujitambua kwa jinsia zetu wote tumepitia mambo mengi sana katika mahusiano. Na kwa vile hatujui ni lini pumzi yetu itafika mwisho basi ni vyema tukatenga muda kwa ajili ya kuomba msamaha na kutubu kutokana na...
  3. Emmaloy

    Ndugu, jamaa na marafiki tuliokuwa na kusoma pamoja

    Salamu zangu za kipekee na dhati kabisa ziwafikie popote pale mlipo: Kwa miaka tofauti tofauti kadhaa iliyopita tulipata nafasi ya kukaa ndani ya chumba cha mtihani kwa pamoja tukiwa tunakabiliana na mitihani tofauti ya kitaifa na Mwenyezi akajalia mitihani ile ikaenda salama bila dosari ya aina...
  4. Emmaloy

    Ndugu, jamaa na marafiki tuliokua na kusoma pamoja

    Salamu zangu za kipekee na dhati kabisa ziwafikie popote pale mlipo: Kwa miaka tofauti tofauti kadhaa iliyopita tulipata nafasi ya kukaa ndani ya chumba cha mtihani kwa pamoja tukiwa tunakabiliana na mitihani tofauti ya kitaifa na Mwenyezi akajalia mitihani ile ikaenda salama bila dosari ya aina...
  5. Emmaloy

    Kizazi cha njaa na kujipendekeza

    Kwa miaka mingi sana nchi ya Tanzania imekuwa ikisumbuliwa na maadui wakubwa watatu ambao ni ujinga, maradhi na umasikini na miaka ya karibuni wameongezeka maadui wengine kama rushwa na ufisadi. Ukifuatilia kwa undani sana utaona kuna baadhi ya vijana wengi wasomi na wasio wasomi wakiongozwa na...
  6. Emmaloy

    Lavalava kashikilia nafasi ya mtu WCB

    Kiufupi nianze tu kwa kusema watu wengi sio waumini saaaana wa aina ya muziki anaoufanya msanii Lavalava. Kwa muda mrefu sasa style yake ya uimbaji imekuwa haiendani kabisa na aina ya muziki unaofanywa na wasanii wenzie walio katika record label moja. Katika tamasha kubwa la burudani la Wasafi...
  7. Emmaloy

    Kiukweli kama wangechelewa tungewakamata

    Nimeisikiliza hii kauli ya IGP imeniachia maswali mengi bila majibu. Kama imefikia pahala mpaka tunafikiria ulinzi wa raia na mali zao kwa njia ya kuviziana basi tuna safari kubwa sana ya kuifikia nchi ya ahadi.
  8. Emmaloy

    Yuko wapi Makongoro Nyerere?

    Tangu kuisha kwa uchaguzi mkuu wa raisi, wabunge na madiwani mwaka 2015 sijamsikia tena huyu jamaa. Sijui yuko wapi na anafanya mchakato gani, mwenye kujua zaidi naomba anijuze
  9. Emmaloy

    Kusoma ni kuishi

    KUSOMA NI KUISHI Maisha ya kila binadamu yeyote yanategemea na namna siku yake inavyoisha. Mwanafunzi wa Tanzania anahitaji takribani miaka 23 hadi 28 ya kukaa darasani ili kuweza kuhitimu masomo yake ya kuanzia nursery hadi shahada ya kwanza (Degree/Bachelor). Sishangazwi na uwingi wa miaka...
  10. Emmaloy

    Kesho Yetu

    Maisha hutupa changamoto ili kupima ujasiri na utayari wetu wa kubadilika, katika muda huo hakuna nafasi ya kujifanya kwamba hakuna linalotokea au kusema hauko tayari kuipokea changamoto hiyo. Elewa kuwa maisha hayaangalii nyuma na changamoto hazihitaji utayari wako. Wiki moja ni zaidi ya muda...
  11. Emmaloy

    Personal development

    Maisha hutupa changamoto ili kupima ujasiri na utayari wetu wa kubadilika, katika muda huo hakuna nafasi ya kujifanya kwamba hakuna linalotokea au kusema hauko tayari kuipokea changamoto hiyo. Elewa kuwa maisha hayaangalii nyuma na changamoto hazihitaji utayari wako. Wiki moja ni zaidi ya muda...
  12. Emmaloy

    Vijana wa Tanzania na kizazi cha kujipendekeza

    Kwa miaka mingi sana nchi ya Tanzania imekuwa ikisumbuliwa na maadui wakubwa watatu ambao ni ujinga, maradhi na umasikini na miaka ya karibuni wameongezeka maadui wengine kama rushwa na ufisadi. Ukifuatilia kwa undani sana utaona kuna baadhi ya vijana wengi wasomi na wasio wasomi wakiongozwa na...
  13. Emmaloy

    Vijana wa Tanzania na kizazi cha kujipendekeza

    Kwa miaka mingi sana nchi ya Tanzania imekuwa ikisumbuliwa na maadui wakubwa watatu ambao ni ujinga, maradhi na umasikini na miaka ya karibuni wameongezeka maadui wengine kama rushwa na ufisadi. Ukifuatilia kwa undani sana utaona kuna baadhi ya vijana wengi wasomi na wasio wasomi wakiongozwa na...
  14. Emmaloy

    Vijana wa Tanzania na kizazi cha kujipendekeza

    Kwa miaka mingi sana nchi ya Tanzania imekuwa ikisumbuliwa na maadui wakubwa watatu ambao ni ujinga, maradhi na umasikini na miaka ya karibuni wameongezeka maadui wengine kama rushwa na ufisadi. Ukifuatilia kwa undani sana utaona kuna baadhi ya vijana wengi wasomi na wasio wasomi wakiongozwa...
  15. Emmaloy

    Personal develpment

    Maisha hutupa changamoto ili kupima ujasiri na utayari wetu wa kubadilika, katika muda huo hakuna nafasi ya kujifanya kwamba hakuna linalotokea au kusema hauko tayari kuipokea changamoto hiyo. Elewa kuwa maisha hayaangalii nyuma na changamoto hazihitaji utayari wako. Wiki moja ni zaidi ya muda...
Back
Top Bottom