Okay basi ni wazi shida imejulikana,
Ni kweli HSG hutumika pia kama curative japo sio guarantee kuzibua mirija yote, na yawezekana kama nilivyosema alikuwa na PID ambayo haikutibiwa na ikasababisha mrija wa pili nao kuziba so fanya mapema urudi ukafanye hiyo HSG (as a curative procedure) kama...
Vocha za simu ni bidhaa inayotumiwa na kila mtu, na kwasasa imekuwa ni jambo la lazima wala sio anasa,
So kwenye hilo profit zaweza patikana through normal usage of cellular phones,
Viingilio kazi kubwa ni hapa mwanzoni tu katika kumaintain member waliopo lakini ukishaingia unaweza fanya...
Kosa kubwa wanalolifanya watu wenye shida ya uzazi ni kuruhusu presha ya mtoto itawale maisha yao, presha ya marafiki, ndugu na majirani haipaswi kuwatawala.
Japo kweli ni stress lakini mnapaswa muweze kuicontain,
Kimsingi hapo pana mambo mawili,
Kwanza inaonekana bibie alikuwa na shida ya...
RIFARO AFRICA BUSINESS OPPORTUNITY
Hii ni kampuni mama kutoka Tanzania yenye lengo la kumsaidia mmiliki wa simu ya mkononi kuweza kunufaika na muda wa hewani anaoutumia kwa kumuingizia KIPATO.
Kampuni ilipata wazo hili toka mwaka 2011, lakini rasmi ilianza kulifanyia kazi mwaka 2014 mwezi wa...
Kwa wale wapenzi wa mchele safi wenye ladha kutoka Kyela (pure ambao haujachakachuliwa) bei ni Tshs 2500 kwa kilo,
Fika mabibo relini mkabala(opposite) na kibanda cha kukatisha tiketi za treni ya Mwakyembe,
wasiliana nasi kwa namba zifuatazo:-
0684 951 007
0652 299 681
Pia kwa makubaliano...
Kwa Wakazi wa Dar karibuni Mabibo Relini tumewaletea mchele pure/wa asili kutoka Kyela, yani ule mchele ukiuweka nje hadi nzi wanaufuata, (sio ile ya kuchanganya)
Bei ni Tsh 2500 kwa kilo karibuni sana,
Pia delivery services zipo kwa maelewano,
Nakuhakikishia ukinunua hutojutia kiwa mteja...
RIFARO AFRICA BUSINESS OPPORTUNITY
Hii ni kampuni mama kutoka Tanzania yenye lengo la kumsaidia mmiliki wa simu ya mkononi kuweza kunufaika na muda wa hewani anaoutumia kwa kumuingizia KIPATO.
Kampuni ilipata wazo hili toka mwaka 2011, lakini rasmi ilianza kulifanyia kazi mwaka 2014 mwezi wa...
Kijana tunakubali mapenzi hayabagui...... ila maisha yanabagua!! Ubaguzi wa maisha unafanywa na makosa mbalimbali ya mtu binafsi au watu wanaomhusu mhusika!! Changudoa ni mwanamke kama wengine, na wengi wanuwezo mkubwa sana wa kumridhisha mwanaume kimapenzi, Tatizo na hofu yangu kubwa ni vitu...
Kwenye swala la wanawake wasomi kutokudumu kwenye ndoa lina ukweli ndani yake (though i have no statistical evidence) but kimtaa tunayaona haya kwa kiasi fulani...
Nadhani sababu kubwa hasa ni mbili...
1. Mfumo dume - Wanaume ktk jamii za kiafrica tunajichukulia kama kichwa cha familia(lkn pia...
Yani ulitaka wafanyweje sasa?? yaani tayari wameshatolewa from unknown to famous, na hela/zawadi wakapewa most of top ten wanapata na deal za kurekodi pia.. bila BSS ungeyatajaje hayo majina??? ungeyajuaje??? japo ina mapungufu yake lakini BSS imefanya kazi kubwa sana ambayo inastahili...
I choose to disagree with you on one point, yes wote ni wakali but vocally Salma yuko chini zaidi ya wote she is monotonous, she can not hit higher notes ndo maana alishauriwa na Jay aimbe nyimbo za size yake, vocal range yake ni ndogo, ni kweli anapiga gitaa poa sana, but Vocally Nsami was far...
Mkuu unaangaliaga talents show za nchi nyingine lakini!! umeshawahi kuona American idols??? basi hata Tasker project fame hujaona??? its all about singing famous songs from famous artists!! even American idols hawatungi nyimbo zao jama... hata ukicopy nyimbo ya mtu kama unajua kuimba utaimba...
Ama kweli wataalamu wote wataendelea kuwa watumwa wa wanasiasa, I thought walivyodai kuwa madai yao ni ya msingi walikuwa na maana coz hata serikali mara kadhaa ilikiri kuwa madai yao ni ya msingi, sasa ina maana hizo huduma bora walizokuwa wanazipigania zimeshaboreka? mwanzo nilidhani...
Nachukia sana hii michango ya harusi!! Pengine mi ni mmoja wa hao ambao wanakusumbua na kutokupokea simu!! We mtu unataka harusi ya milioni 15, unakwenda kuish chumba kimoja inahusu!! we mwenyewe huna zaidi ya kitanda na godoro mweeh!! kuchanga kwenyewe unatusumbua kila mara simu mara msg...
humu JF bana, Some people lies, and they use words such as 'never', nyie mnayekataa mnaresearch mliyofanya au mliyopitia ikaonyesha 0% ya waliokeketwa ndo wanainjoi??? wengine wanasema kamwe hawawezi oa eti kwa kisingizio cha kukeketwa, alikuambia nani mwanamke anaenjoy sex only through...
Navyoona mimi tfsiri halisi ya kwanini cheni imevaliwa mguuni anayo mvaaji mwenyewe!!
lakini pia inasemekana kuwa kitambo fulani hapo nyuma kuvaa cheni/shanga mguu wa kushoto ni ishara ya kuhitaji kupitiwa kunako 'barabara ya vumbi' ndo huku siku hizi mnaita tigo!! so wavaaji walifanya hivyo ili...
Katika vitu vyote ulivyofuatilia kwa huyo dada hukujua chochote zaidi ya kabila?? yaani cha kwanza kuulizia ilikuwa kabila lake? Tunalaumu ukabila nchi hii wakati cc wenyewe tunauendekeza!! We kama umempenda dada angalia tabia zake mpeleleze kwa makini kama utaridhika naye chukua mzigo, lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.