Ndugu! wadau nahitaji vitabu (study material) ya FR & IF kwa maandalizi ya Mitihani ya NBAA May 2014.
kwa yeyoyete anaefahamu ntapataje tafadhali nijulishe.
je kuna umuhimu wa kuendelea kuwa na wabunge tulionao sasa hapa Tanzania? je wabunge tulionao wanauwezo gani wa kujadili bajeti zilizoandaliwa na wataalam?
jamani madaktari na wataalam wa magonjwa ya tumbo tunaomba msaada, mimi tatizo la gesi linanisumbua sana na nikishiriki tendo kesho yake tumbo la gesi linanisumbua sana.
Kweli kabisa mdau! mimi binafsi sipendi kusikia lalamishi hizi za kike na mara nyingi hazina maana kwani wanatumia kama nyia za kutoa shida zao badala ya kusema na kujadili kwa njia ya kawaida.
mara nyingi naona bora niende mbali na mazingira ya lalamishi, kwani yana yanapunguza mapumziko na...
Huyo mkeo ni rafiki tu.. kwani wakati wa safari ya mahusiano ulipoanza ulikuwa unataka awe rafikiyo au nduguyo.
pili, undugu hauombwi lakini wakati unaingia katika uhusiano naye ulikuwa unaomba akukubali muwe pamoja, umeenda kuonga kwao mahari na baada ya kukubaliwa mkasheherekea kwamba...
Kama ni kweli hawatoi risiti zenye TIN AU VRN basi Tz ni jumba la makumbusho ambalo halina geti kwani wanatakiwa walipe Repatriated Income tax, kinyume na hapo ni tatizo la viongozi mbumbumbu na wababaishaji wanaojali matumbo yao tu.
Ndo maana kila mwaka bajeti inategemea TBL, wanashindwa...
Hawa wanawake wana ujasiri kuliko kawaida hivyo wanajichanganya katika mambo ya uzalishaji na biashara sana, ila pia wengi wenu ni walevi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! na wanapenda mambo ya tulikotoka!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Huyo binti cio wa kuolewa, Hajui hata haki zake za msingi hapa duniani!!!!!!!!!! wazazi hawawez kumfundisha kuh swala hilo watu wang, kwan mbuz, paka, mbwa wamejuaje?????!!!!!!!!!!!!!!!
Nadhani walikuwa na safari zao za kuzunguka dunia wakapanga waitamaliza 21 May.
:mod: mbona baa zimejaza hadi sasa......bana achana nao wamechoka kuishi haoooooooooo...........
Watanzania najua nikiwauliza hamjambo jibu ni lile lile hatakama mmeshinda njaa.
JF members na Watanzania wenzangu tunayo mapungufu lakini kama wapo watanzania wanaotaka kusaidia watoke pale walipo basi tufanye hivyo, na kuwasaidia ni watu kama wewe mwenye mamlaka, na hapa hatumaanishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.