Search results

  1. K

    Vurugu Afrika Kusini: Vifo vyaripotiwa mgomo wa madereva wa malori

    Acha kabisa SA bora ukutane na mwenyeji wa kule kuliko ukutane na Mtanzania aliyechoka maisha unaweza ambulia kuibiwa wako kiharamia haramia,na ndiyo hao wanapata kibano huko.
  2. K

    Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

    Kitendo cha kupanda basi toka mwanza kuja dar inaonyesha hata kula amekula.hivi nawezaje kutoka mwanza kufwata me Dar mdada ninaye jiamini,kujipenda na mwenye samani big no. Sijui kizazi hiki kinaenda wapi! ezi zetu tunafwata eti.
  3. K

    Wanawake mnaochepuka kuweni makini.

    Nawaasa tu wanaume wezangu kama unajijua unachepuka mpaka mkeo agundue na kuumia vya kutosha.ujue tu mkeo hayuko salama huwa nao wanalipiza kimya kimya na hutakaa ujue mpaka uingie kaburini.
  4. K

    Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

    Hii kali ungesema tu. :D :D :D :D :D :D :D
  5. K

    MWANGA: Wilaya ya kishamba zaidi katika mkoa wa Kilimanjaro

    WW naona uliishia bondeni hukupanda juu.
  6. K

    Najihisi nina mkosi kwenye mapenzi

    Naona alikutana na wale wenye Dawa wakamnusisha ukajiachia na no. za password ukatoa. Huyu aseme vizuri alikutana na waleee jamaa wa ndumba anakunusisha unataja yote
  7. K

    Hongera Mbosso kwa kujenga hii nyumba nzuri

    Kilema kanifurahisha sana! mara kashajiwazia atapandaje pale sijui anaenda kufanya nini kwenye mijengo yawatu :D:D:D:D:D
  8. K

    Arusha mashoga ni wengi kuliko madada poa hali ni mbaya sana viongozi wa dini hamuoni?

    Huyo afanye kazi aache uongo muda mchafu hawana vijana wa AR wanasaka pesa kama wapi ni 0.1%
  9. K

    I am addicted to sex

    Miaka 48 to 55 ni shida hapo ndiyo waweza rusha dawasco.
  10. K

    Alinijibu hivi baada ya kushindwa kumtumia pesa. Naomba ushauri wenu wakuu

    Huyo siyo wife material mkioana hataka usaidie kwenu.aisee! kuwa makini usije ukajuta maisha yako yote ya ndoa ana ubnafsi huyo.
  11. K

    Mke wangu kanishangaza

    :D :D :D :D :D :D :D
  12. K

    Hii Huduma imefika na Tanzania nimeshuhudia live Kinondoni mimi mhusika

    Jamani! jamii forum ni shida :D :D :D :D :D
  13. K

    Kama hujayapitia haya maisha, kubali umekosa mengi

    Kwa kweli mengine sitaki hata kukumbuka, mm nawadogo zangu tulikuwa tunambembea na kamba chini kuna mto una kina kirefu ikidondoka hapo kama hujui kuogelea basi tena .unabembea mpaka ngambo ya mto ukirudi wezako wanaendelea kukusukuma bila hata woga.Mungu kweli ni mlizi wetu.
  14. K

    Kuna siri gani kati ya wavaaji wa miwani za macho na tabia ya ustaharabu na akili nyingi kichwani?

    Kama karatasi nyeupe umeachana nayo form 4 huwezi vaa miwani kamwe.
Back
Top Bottom