Acha kabisa SA bora ukutane na mwenyeji wa kule kuliko ukutane na Mtanzania aliyechoka maisha unaweza ambulia kuibiwa wako kiharamia haramia,na ndiyo hao wanapata kibano huko.
Kitendo cha kupanda basi toka mwanza kuja dar inaonyesha hata kula amekula.hivi nawezaje kutoka mwanza kufwata me Dar mdada ninaye jiamini,kujipenda na mwenye samani big no. Sijui kizazi hiki kinaenda wapi! ezi zetu tunafwata eti.
Nawaasa tu wanaume wezangu kama unajijua unachepuka mpaka mkeo agundue na kuumia vya kutosha.ujue tu mkeo hayuko salama huwa nao wanalipiza kimya kimya na hutakaa ujue mpaka uingie kaburini.
Naona alikutana na wale wenye Dawa wakamnusisha ukajiachia na no. za password ukatoa.
Huyu aseme vizuri alikutana na waleee jamaa wa ndumba anakunusisha unataja yote
Kwa kweli mengine sitaki hata kukumbuka, mm nawadogo zangu tulikuwa tunambembea na kamba chini kuna mto una kina kirefu ikidondoka hapo kama hujui kuogelea basi tena .unabembea mpaka ngambo ya mto ukirudi wezako wanaendelea kukusukuma bila hata woga.Mungu kweli ni mlizi wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.