Arusha mashoga ni wengi kuliko madada poa hali ni mbaya sana viongozi wa dini hamuoni?

Sasa unataka kubisha ama..! Arusha ni moja yapo sana haya machoko pamoja na kujifanya wagumu shenzi type sana.
Wagumu huku wanapumuliwa visogoni Mimi nipo hapa unga limited mashoga wapo wengi sana hua naenjoy na rafudhi zao za r ukute wanasutana sasa utacheka na kusikitika mkuu
 
Sikatai kwamba Arusha hakuna mashoga lakini kusema kwamba wapo wengi kuliko madada poa huo ni uongo wa mchana kweupe na wenye lengo la kuchafua miji ya watu.
Sasa kama ni kweli hilo ulisemalo weka ushahidi hapa kwa kutaja kwa majina hizo club zenye makaka poa wengi kuliko madada poa.

Vinginevyo acha kutafuta like kwa njia hii ya kuchafua miji ya watu.
Mbona unatokwa na povu kiasi hiki.....unatutia mashaka
 
Arusha ipi unayoizungumzia wewe? Okay nimekumbuka wadada wengi wa Arusha wana pigo za kiume. Hivyo utakuwa umewaona hao.

Maliza kilichokupeleka usepe.
Mkuu upo arusha?au ni mwenyeji wa arusha? Kwa nia nzuri nauliza tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom