Vurugu Afrika Kusini: Vifo vyaripotiwa mgomo wa madereva wa malori

Vijana wa kizuru wavivu sana kule kuna vijana wa kinaigeria,wabongo,nk wanachangamkia sana kazi za kudeki kubeba box kuuza genge la matunda,nyanya unakuta hizo fursa wazuru hawazichangamkii na kama akiomba anataka malipo makubwa so unakuta wa malipo ya chini anakula maisha na umukute mnaigeri wikendi katuria na BMW mzuru anatweta kama kamuona kaburu, sasa huko kuna airbus ya watz mkiiponda na mawe wataona bangi za wabongo zinadetect vipi kichwani 🤣 🤣 🤣
 
Kwa kauli ile inaonesha uungwaji mkono wa serikali ya Pretoria chini kwa chini kwa kinachofanywa na wananchi wake kwa wageni!

Acha kabisa SA bora ukutane na mwenyeji wa kule kuliko ukutane na Mtanzania aliyechoka maisha unaweza ambulia kuibiwa wako kiharamia haramia,na ndiyo hao wanapata kibano huko.
 
Nimemsikia Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa South Afrika anasema kuna mji 85% ni wahamiaji kutoka nchi za nje ambao wamechukua ardhi kubwa na hivyo mwenyezi kuona kwamba wanaporwa ardhi na "makaburu weusi" hivyo kuanza vurugu!

Kama asilimia hizo ni kweli, basi kutakuwa na tatizo kweli kwa wenyeji!
Hamna kitu kama hicho population ya south africa ipo more than 50millions people wahamiaj wapo 2.3milions woote hapo kuna wazungu.ma african ,,,wanaomiliki ardhi ni ma kaburu na ndio wameishikilia economy ya south africa so ayo mauwaji yana watarget ni african people watu weusi kutoka inchi mbali mbali ya africa
 
Nimemsikia Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa South Afrika anasema kuna mji 85% ni wahamiaji kutoka nchi za nje ambao wamechukua ardhi kubwa na hivyo mwenyezi kuona kwamba wanaporwa ardhi na "makaburu weusi" hivyo kuanza vurugu!

Kama asilimia hizo ni kweli, basi kutakuwa na tatizo kweli kwa wenyeji!
WaSA... wana mawazo mengi saana vichwani mwao.

Aridhi haijamilikiwa na wageni weusi wala nini wengi hawana uraia ni wahamiaji tu haramu.

SA ipo hivi asilimia zaidi ya 70 ya aridhi ya SA inamilikiwa na Wazungu ambao ni asilimia 9 tu ya population ya South africa. Just imagine,....wengi hawana aridhi na future.

Kwa upande mwingine japo hili kila mmoja atakuwa na mawazo yake ni kwamba wageni wameiharibu ile nchi ni wengi na wanafanya mambo sio mzuri..wizi...biashara hadi za matunda..pipi na kadhalika. Hapa bongo wachina tu wauza mitumba bunge lina waka.

Lingine pia Wasomali na Waethiopia wapo wengi South na wameshika biashara kiasi kwamba wamewapa weupe changamoto ya kufanya biashara kabisa...machafuko yanamikono ya weupe pia.
 
WaSA... wana mawazo mengi saana vichwani mwao.

Aridhi haijamilikiwa na wageni weusi wala nini wengi hawana uraia ni wahamiaji tu haramu.

SA ipo hivi asilimia zaidi ya 70 ya aridhi ya SA inamilikiwa na Wazungu ambao ni asilimia 9 tu ya population ya South africa. Just imagine,....wengi hawana aridhi na future.

Kwa upande mwingine japo hili kila mmoja atakuwa na mawazo yake ni kwamba wageni wameiharibu ile nchi ni wengi na wanafanya mambo sio mzuri..wizi...biashara hadi za matunda..pipi na kadhalika. Hapa bongo wachina tu wauza mitumba bunge lina waka.

Lingine pia Wasomali na Waethiopia wapo wengi South na wameshika biashara kiasi kwamba wamewapa weupe changamoto ya kufanya biashara kabisa...machafuko yanamikono ya weupe pia.
ukitizama na wageni pia huchangia katika vurugu zile kwa namna mojja ama nyingine ;;wageni wengi ma drug dealer kuna jama mnageria kampiga risase dereva taxi kisa kumkataza kumuuzia drug kijana wa kisauzi vuruguu zingine wanasababisha wao nimeona video nyingine ambayo wageni walipambana na police bada ya kuja ku search kwenye maduka ilikugundua ma counterfeit good,,Mungu awanusuru ndugu zetu waliopo kule mana ni hatare
 
Wapumbavu hao, je kama wavivu wa kufanya kazi! Hata kama ni mimi ndie mwenye malori nikiona ndugu zangu wavivu wa kufanya kazi naajiri madreva wa nje,,,sijapata kuona miafrika mipumbavu na mikatili kama hizi ng'ombe,,,,Mungu awalaani shenzi nyie.
Sasa ndio najua sababu ya kufanyiwa ukatili na makaburu kumbe walistahili
 
ukitizama na wageni pia huchangia katika vurugu zile kwa namna mojja ama nyingine ;;wageni wengi ma drug dealer kuna jama mnageria kampiga risase dereva taxi kisa kumkataza kumuuzia drug kijana wa kisauzi vuruguu zingine wanasababisha wao nimeona video nyingine ambayo wageni walipambana na police bada ya kuja ku search kwenye maduka ilikugundua ma counterfeit good,,Mungu awanusuru ndugu zetu waliopo kule mana ni hatare
Hii story ya mnija niliipata pia..... ni ukweli mkuu sawa wenyeji wana kijicho ila wageni wamechangia kuiharibu nchi.
 
Una uhakika mkuu na unachokisema hapa?
Mkuu mdogo warafiki yangu alifanyiziwa na Watanzania wenzake kutoka mkoa na mtaa mmoja yaani wa kwao kabisa. Ni kwamba bint alikuwa anatoa biashara nyumbani anapeleka SA akakutana na watu wa kwao kabisa ikawa Ni Kama Kaka zake siku anaondoka wakamtafutia taxi njiani wakaivamia wenyewe wakamnyang'anya kila kitu na kumpiga wakajua wamemuua kaokotwa na wenyeji alipopona akaanza kazi ya ususi Hadi akapata nauli na kurudi nyumbani yaani anasimulia jinsi walivyompokea kwa ukarimu hakuamini kuwaona wakifanyia hivyo
 
Mkuu mdogo warafiki yangu alifanyiziwa na Watanzania wenzake kutoka mkoa na mtaa mmoja yaani wa kwao kabisa. Ni kwamba bint alikuwa anatoa biashara nyumbani anapeleka SA akakutana na watu wa kwao kabisa ikawa Ni Kama Kaka zake siku anaondoka wakamtafutia taxi njiani wakaivamia wenyewe wakamnyang'anya kila kitu na kumpiga wakajua wamemuua kaokotwa na wenyeji alipopona akaanza kazi ya ususi Hadi akapata nauli na kurudi nyumbani yaani anasimulia jinsi walivyompokea kwa ukarimu hakuamini kuwaona wakifanyia hivyo

Huyo binti alikuwa anapeleka biashara gani AK?
Maana sina shaka kwamba umesikia story ya upande mmoja tu.
Sisemi Kuwa wabongo waliopo AK wote ni watu poa,lazima ufahamu kuwa watu wanatofautiana popote pale Ulimwenguni bila kujali Utaifa wao
 
Kimenuka kweli kweli kipande hichi siyo poa...Yani amani hakuna kwa kweli...Uke msemo wa Dont trust no one naona umekua applicable kabisa hawa jamaa hawatupendi maforena....
Mimi naona umefika wakati sasa nchi za kiAfrica zikafunga balozi zao hapa SA na Nyumbani mpaka hii ishu ipatiwe suluhisho.
Ila chanzo cha haya yote ni Wivu na Uvivu uliopitiliza wa hawa majamaa...na hii kitu wame-Inherit tokea vizazi na vizazi....Ila si unajua wabongo tulivyo wabishi Makodinda Makostamina hapa kwenyewe nina bonge moja la Panga nasubiria mjinga mjinga ashoboke ..kwanza hata afya na nguvu havina.
2019-09-03%2019.07.01.jpeg
2019-09-03%2019.06.34.jpeg
2019-09-03%2019.08.28.jpeg
2019-09-03%2019.07.40.jpeg
 
Back
Top Bottom