Kuna siri gani kati ya wavaaji wa miwani za macho na tabia ya ustaharabu na akili nyingi kichwani?

Mbona ni wazi kabisa! Kusoma vitabu sana yanafanya macho yaharibike na kuhitaji miwani kuona vizuri. Na kusoma sana ndiyo inawapatia akili nyingi na tabia ya ustaarabu.
 
Miwani nayozungumzia mimi sio zile anazovaa Diamond jukwaani, Bali ni zile za macho ambazo watu wengi huvaa kwa matatizo ya macho

Katika research yangu niliyoifanya kwa miaka mingi nimegundua asilimia kubwa ya watu wanaovaa hizi miwani wamestaharabika sana
View attachment 1027365

Huwezi ukamkuta mtu kavaa hizi miwani alafu akawa hajielewi yani wengu huwa ni wakimya alafu akili nyingi kichwani na wengi huwa ni wasomi
View attachment 1027366

Kuna siri gani kati ya wavaaji wa miwani za macho na tabia ya ustaharabu na kili nyingi?
View attachment 1027367

Sent using Jamii Forums mobile app
Yangu inakuwa kwenye kundi gani?

Jr
 
Miwani za macho au ya macho vipi mleta mada inaonekana huvai miwani pia
 
Yaani mtu apofuke macho kwa ujinga wake wa kutokula matunda na mboga za majani leo hii uniambie ana akili nyingi kichwani?

Labda nyingi kulinganisha na zako


Umeshaambiwa wana akili nyingi na pia wengi wasomi walitumia muda wao mwingi kusoma or kubukua eg Dr. Wahasib karatasi nyeupe zinaimiza sana macho sio swala la kukosa matunda na mboga,mtoa mada uko sahihi 90%
 
Umeshaambiwa wana akili nyingi na pia wengi wasomi walitumia muda wao mwingi kusoma or kubukua eg Dr. Wahasib karatasi nyeupe zinaimiza sana macho sio swala la kukosa matunda na mboga,mtoa mada uko sahihi 90%

Kama karatasi nyeupe umeachana nayo form 4 huwezi vaa miwani kamwe.
 
Wanasoma sana. Matokeo yake ni kuwa waelewa wazuri na pia kuharibu macho.
 
Ukiona wako hivyo ujue wamepiga kitabu sana mpaka macho yakapata shida ya kuona vizuri!
 
Umeshaambiwa wana akili nyingi na pia wengi wasomi walitumia muda wao mwingi kusoma or kubukua eg Dr. Wahasib karatasi nyeupe zinaimiza sana macho sio swala la kukosa matunda na mboga,mtoa mada uko sahihi 90%
Kama karatasi nyeupe umeachana nayo form 4 huwezi vaa miwani kamwe.
Jamaa yangu we mtupu sana kichwani, na ndio type ile ya mafala wa mkoani ambao wakimuona mzungu tu, wanajua ni PADRE. Ninawajua watu wengi wasomi ambao macho yao yanaona vyema mpaka leo hii.
Ninawajua watu wengi ambao hawakusoma sana na wanavaa miwani ya macho.
Ninawajua watu wengi wanavaa miwani na kichwani sifuri
Nimesoma primary na watoto wawili wanavaa miwani
Nimesoma sekondari na wavaa miwani si chini ya 11
Nimesoma chuo na wahindi, ambao hatuvai miwani darasani ndio wachache.

Usiishi kwa kasumba wewe, miwani na vipara ni matokeo ya upungufu wa vitamins
 
Miwani nayozungumzia mimi sio zile anazovaa Diamond jukwaani, Bali ni zile za macho ambazo watu wengi huvaa kwa matatizo ya macho

Katika research yangu niliyoifanya kwa miaka mingi nimegundua asilimia kubwa ya watu wanaovaa hizi miwani wamestaharabika sana
View attachment 1027365

Huwezi ukamkuta mtu kavaa hizi miwani alafu akawa hajielewi yani wengu huwa ni wakimya alafu akili nyingi kichwani na wengi huwa ni wasomi
View attachment 1027366

Kuna siri gani kati ya wavaaji wa miwani za macho na tabia ya ustaharabu na kili nyingi?
View attachment 1027367

Sent using Jamii Forums mobile app
Rudia huo utafit mkuu
 
Back
Top Bottom