Wanawake mnaochepuka kuweni makini.

Ndo uanze wewe kufikisha huu ujumbe kwa wanaokuzunguka utakuwa mpuuzi siku mtu wako wa karibu yamfike ya Naomi pasipo kumpa ujumbe huu uliotupatia,

Yaani wake wachepukaji wa humu wanakuuma sana kuliko dada na wengineo huko nje??? Naondoka zangu mimi
Ha ha ha ha sasa mambo haya yangeishia mtaani humu jf Mada zingetoka wapi?
 
Inamaana Wanaume tuna upendo wa dhati kwa wake zetu. Kiasi kwamba kumkosa mke tunaona wivu mkubwa?
Au ni hasira tu?
Habari,

Nachukua fursa hii kuwatahadharisha wanawake wanaochepuka wapunguze kujiamini kulikopitiliza kuwa hata wakifumaniwa hakuna kitakachotokea.

Kwa matukio ya sasa hivi na visasi inaonekana wanaume wameingiwa na roho za kikatili na kishetani.
Matukio kama....

1. Gunia 2 za mkaa huko Kigamboni

2. Yule dogo wa pwani kumchoma kisu mwanamke wake.
3. Yule jamaa wa musoma kucharanga mke na watoto
4. Kuna tukio la jamaa aliyechinja mke
5. Kuna huyu mwamba hapa chini aliyekula miaka miwili kwa kuua bila kukusudia nk.

Hivi Ina maana sasa hivi wanaume hawataki kutoa talaka tena?

Kama wahanga ni watoto, hapa mbona watoto wanabakia yatima duniani.

Wachepukaji muwe makini sana, yaani extra careful na wanaume mzikatae hizo roho za mauti maana mwisho wa siku ni watoto ndiyo wanataabika zaidi.
 
Majibu uliyoyapata hapa kwenye hii thread ndo yanayo reflect kilichomo kwa dada zetu na yanayotokea....
 
Hivi wanaume mbona mna roho mbaya hivyo? Hamtaki wenzenu wapate utamu
Ni ubinafsi wa hali ya juu, kwani mkikubali tu kuwa nasi tunakwenda tu kutafuta utamu then tunarudi kuliendeleza gurudumu la familia nini kinaharibika?
 
Well nasi tutakuwa na kikao cha dharura cha kutafuta namna ya kuwamaliza wanaume wachepukaji bila kuacha ushahidi wa aina yoyote ile zaidi ya "alikufa kwa mstuko wa moyo".
.
Halafu hamnaga hata upelelezi kwenye hilo, ni moja kwa moja mortuary.
Na baada ya hapo tunalia mpaka macho yanavimba
Wanaume hawajui tuu, wanapaswa watuheshimu sana yaani yaani sana maana ukatili wetu hadi shetani huwa anaogopa anahisi kuna shetani mwingine zaidi yake.
 
Just to put records clear, mdada aliyeuliwa na Mume wake na kuchomwa na gunia mbili za mkaa chanzo si mwanamke alichepuka Bali ni mwanaume alikuwa anachepuka.
Baada ya mke wake kugundua ugomvi wa hapa na pale mauti yakamkuta.
Mume wake alidhibitisha hilo.

Asante kwa kutushauri ila na nyie muache kuchepuka. Yaani mnachepuka na bado tukiwakamata inakuwa kosa jamani?
Eti umesema tuache kuchepuka? Kwani tumekuwa Yesu? Mwanaume kuchepuka ni haki yake ya msingi kabisa na inapaswa iheshimiwe kwa mioyo mikunjufu
 
Me namwambia wangu kila siku, akinichoka au akijihisi ninavyompatia matunzo/mboo havimtoshi basi nibora aniache kwaamani kuliko aanze kugongwa njee hali yakuwa yupo chini yahimaya yangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom