Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,947
- 6,211
Lazima ukomae kama ngozi ya mamba.Sio maisha ila haikuwa na jinsi na haistaili hata kukumbuka.mtu unatembea peku, kaptula zimechafuka, utakosaje magonjwa ta ngozi.Halafu ukitoka hapa unataka ukalale bila kuoga!
View attachment 1101150