Kutokana na maombi ya baadhi ya wanachama wa Jamii Forums waliokuja PM kuniomba niandike kile ambacho ninakifahamu kuhusiana na kupotea kunakostaajabisha kwa dege la shirika la ndege la Malaysia,leo nimeamua niandike machache kuhusu ndege hii na namna ilivyopotea katikati ya rada chungu nzima za...
INSANE COINCIDENCE
TITAN:TITANIC
Duniani kuna mambo ya ajabu sana,pengine huwezi hata kufikirikama yanaweza kutokea lakini yapo.Kwa wale ambao hawajui au hawaelewi wanaweza kukataa na kubisha sana lakini hiyo haiondoi ukweli wenyewe.Sote tunafahamu kwamba kuna matukio hujirudia na hii...
KUIPER BELT
Kadiri tunavyoendelea kuwepo kwenye dunia hii tunaendelea kupata kujua mengi sana kuhusiana na mazingira yetu na yale yote ambayo yanatuzunguka.Ukiacha maswali mengi ambayo binadamu ameshindwa kupata majibu yake bado binadamu huyu ameendelea kupata kujua mengi tu ambayo yanashangaza...
Wakuu habarini za wakati huu,
Kuna swali ambalo nimekuwa najiuliza sana na nimekosa jibu na hili nadhani naweza kupata jibu hapa kwenu wakuu maana hapa hakuna kinachoweza kuharibika.
Kimsingi nina maswali mawili...
1; Hili la kwanza ni kuhusu DNA [vinasaba]
Binadamu tunarithi vinasaba hivi...
Kila mmoja wetu ameshawahi kusiki kuwa mtu fulani anamuoa/olea na mwingine kwa madai kuwa wanapendana au anampenda huyo anaeingia nae kwenye ndoa,madai haya yapo na huenda hata wewe unafikiri hivyo hivyo.
Leo nataka nikupe ushahidi kuwa sio kweli kuwa watu wanaoana kwasababu ya kupendana au...
Kuna madai ambayo yameshakuwa yakitolewa hapa na watu mbali mbali na pia nje ya hapa kuna madai ya aina hiyo ambayo yamekuwa yakitolewa na watu mbali mbali wakimkosoa Mungu kwamba hana Upendo, japokuwa wanaodai hivyo wamekuwa hawasemi ni wapi wanaupata upendo na ni kwa namna gani wanaweza hata...
Wakuu,
Leo hebu tuendelee kutazama dhana mbali mbali ambazo zipo kwenye jamii yetu kama zina ukweli ili tuone kama tunaweza kujifunza kupitia hizo
Wakati napata akili kuna mambo mengi sana niliyakuta kwenye jamii yangu na mengine niliyasikia kutoka jamii nyingine,mengine nimekuja...
Kuna mambo ambayo yanatokea humu duniani ambayo yanamfanya mtu yoyote yule ajiulize maswali mengi bila kupata majibu,kuna zile habari za vyama vya siri ambazo leo zinaonekana kama ngano kwa baadhi ya watu na kwa wengine zikiwa kama ni mambo ambayo yana uhalisia wake
Nimekuwa nikijiuliza sana...
Kuna mambo yanatokea huku duniani na pia tunaambiwa kuna watu wanafanya utafiti kuhusu mambo mbali mbali, najiuliza hivi kuna maeneo maalum tu ya kufanyia utafiti au ni kila eneo?
Nauliza swali hilo kwa sababu kuna mambo ambayo yanatokea huku mtaani ambayo yanatia mashaka kabisa kuwa hiki...
Mtoto mmoja wa kiume huko India aliwahi kuwaacha hoi wazazi wake baada ya kuanza kudai aliwahi kuishi kabla ya kizaliwa
Mtoto huyo wa kiume, Taranjijt Singh anasema aliwahi kuishi miaka michache nyuma, ambapo alifariki kwa ajali ya pikipiki akiwa bado mdogo.
Mtoto huyo akiwa na umri wa...
Wakuu,
Sina kawaida ya kudharau jambo hata kama linaonekana ni la kijinga na nimeshapata faida kubwa kutokana na mtazamo wangu huu,nimeshafanikiwa kwenye mambo mengi ambayo watu waliyaona ni ya kijinga na wengine walijifunza kupitia hili
Leo naomba niwashirikishe jambo hili ambalo ni mewauliza...
Wakuu ...
Nimekuwa ni mfuatiliaji wa mambo kadhaa hapa ulimwenguni tangu siku moja nilipopewa jarida moja la habari na kukuta taarifa inayomhusu binadamu mmoja anaeitwa Rabi Leo Baeck ...
Jaria lile lilikuwa linasema mengi sana kuhusu kazi za huyu binadamu na mambo yake mengine mengi...
Tukio lililotokea siku sio nyingi huko Uganda na kusambaa kutokana na maendeleo ya mawasiliano limewastua wengi hasa wanawake kwakuwa ni wazazi,lakini hata wanaume nao limewastua sana na kupelekea kuanza kuwa na hofu kuhusu usalama wa watoto wao ambao wanalelewa na hawa ma housegirl.
Tukio hili...
Nimekuwa najiuliza sana hili swali na sijafanikiwa kupata majibu.
Inawezekana jibu lipo lakini sijalijua tu.
Wanawake ambao wanajiuza wana majina yao,kama mahakaba,wauzaji,n.k.
Wanawake ambao wako huku uswazi na wanabadilisha wanaume sana nao wana majina yao,wanaitwa vichehe,malaya,n.k...
Wakuu,
Jana nilijuwa na jamaa zangu na niliwauliza kuhusu chuo kizuri cha sheria kwakuwa kuna jamaa yangu anahitaji
Katika mazungumzo hayo kuna jamaa alitaja chuo kimoja cha kisabato ndipo jamaa yetu akasema kuwa vyuo vya kisabato havitoi degree hiyo kwasababu ya kidini,nilishangaa
Bahati...
Kwenye maisha kila mara huwa kuna mambo ambayo huja na huwa sio yale ambayo tumeyatarajia,yanapokuja haya kutuvunja moyo sana na wakati mwingine huona maisha kama hayana maana kabisa .....
Kuna mengi sana ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ambayo ni ya kuumiza sana,kuna jambo moja kubwa sana...
Maisha bana yana raha yake na karaha zake, kwenye ujana nako kuna mambo haya pia.
Leo nimekutana na mtu ambae alinisababisha nikakumbuka mbali sana,nimekutana na binti mmoja ambae alinipa "wehu sana" miaka hiyo ya 2000.
Binti huyu nilimpenda" sana, wakati huo nilikuwa mwoga kiasi kwa wadada...
Wakati nilipokuwa na umri mdogo kule kijijini nilikuwa nimezoea mara nyingi sana wakati tukiwa kwenye harakati za shambani au kutafuta kuni huku nikiwa na baba na vijana wengine wakubwa,walipokuwa wanajisaidia haja ndogo halafu akatokea mwanamke au binti hurudi kwa kasi sana kule alikotoka ili...
Nakukumbuka sana mama yangu.
Simzunguzii yule mama ambae alichindwa kujua jukumu lake abaada ya kuzaa na kulea kwa miaka michache kisha akamtelekeza mwanae
Namzungumzia yule mama ambae nasikia watu wakimsema kuwa hawezi kulala mwanae akiwa hajalala
Namzungumzia yule mama ambae watu wanasema...
Kila mtu ana changamoto yake ambayo ameipitia,kila changamoto ni nzito kwa mhusika lakini kuwa nzito haina maana kuwa hakuna mlango wa kutokea
Kuna watu wameshapata changamoto za aina mbali mbali na wamefikia hata kujiua lakini kuna wengine wamemudu na kuja kupata maisha yenye furaha tena baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.