Washkaji wengi, mnarusha vess za maana
Nyi niwakali hata sipingi, ila mm ni mkalisana
Kila pambano mi mshindi, ndomana spendi kupambana
Kjana nnae jiita dingi, na demu hataki kua mamaa
Sisomi kusaka Mali, natKa kupunguza upuzi
Na kila siku nasali, kitambo sijaanza juzi
Mungu niepushe na...
Heheheee ina furahisha sana bondia kapigwa kaamua kun'gataaaa.......bondia Maui ni yule akipigwa ana jifunza mbinu za mpinzani wake ili Mara nyingine asipigwe ,,,,,any way.....mi bola mnifukuze nchi tuuuu ila movie zipo mbele bongo ngonjela tu.......tena fast &furious 8 around the corner...
Jaribu kuelewa unapo soma usikariri...... yani ukisoma husianisha na real life ukishindwa ujue ulicho kisoma kipo for temporary kichwani kwako......na hii inapleka mtu kua na elimu alafu hajaa elimika....
Mkuu siku hizi kuna vipimo so lazima utagundulika tu tena hao watu hawafai wanatuharibia taifa mpaka kwenye mitandao ya kijamii anajipost na tunaona kitu cha kawaida kwasababu tumesha zoea. ndo ushoga unavyo shamir taratibu nahii imeathiri hadi akili za baadhi ya wana jf wengine wanamtetea...
Mi nalia tu na manunuzi ya ndege inayo tumiwa na watu wachache wenye kipato mkasahau mlisema mtakua pamoja na watu wa hali ya chini Wanapanda baiskeli kufata huduma za afya kisa barabara mbovu hazipitiki........hii ni tz
Ina sikitisha sana kuona chuki na wivu wa maendeleo unafanyika wazi wazi......mtoa mada unajichumia dhambi za bure kwa kuongea uongo kwasababu zako binafsi.....yani kama umepata ujasiri ea kudanganya humu wana jf sipatiipicha watu unao ishi nao.....nasijui ulikua na lengo gani......
Kwa kukushauri.... punyeto huwa ina addict, pia katika binadamu huwezi kuwa addicted kwa vitu viwili lazima kimoja ndo itakua to the maximum.....kwahiyo kama unania ya kuacha punyeto itabidi uwe serious sana ile ukishakua addicted nayo ni ngumu kuacha kama yalivyo madawa ya kulevya......kwanza...
Sasa unataka wasioneshe ili mfurahi.....tunajua na wewe ni mmoja ya wafata mkumbo hii serikali haipendi ukweli nape alisimamia kwenye ukweli katolewa....ITV wapo kwenye ukweli mnataka wakae kimya.....mnaambiwa atakae sema tz INA njaa unakamatwa.....
Kweli simba ni wapili ila wakwanza ni tiger hawa kwa mmoja mkubwa ana kilo takriban 423kg, pound 931 kwa lugha ya kitaalamu anaitwa (Panthera tigris ) wana patikana aiberia ndio largest kind of wild cat ila sio chui chui ni wa 3 sometime anaitwa Jaguar
Umeanza vizuri ila nilicho gundua na wewe ni mmoja ya watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiria.....umesema makonda alienda clouds kuangalia kama wana fichia madawa huko.......kwasababu huna uwezo mzuri wa kufikir na inawezekana una matatizo ya macho na kusikia hata kusoma pia......
Ngoja...
Kweli wa tz tumejaa Chuki ume mshindwa bashite unataka uende kwa wAsanii.....ila yote sawa.....kinacho fata uanzishe na kampeni nyingine ya kuwachukia mashabiki zao.......
Kwa mm ntakushaur kama huna haraka ya maisha tafuta garage yeyote ya magar jifunze kutengeneza na kuhudumia magar then pigania upate lesen na ujue kuendesha gar after that tafuta dill la utingo katika magar ya mizigo Fanya kaz kwa hata 6 month kwa ufanisi lazima utapata connection ya watu...
Alafu huku sio Facebook kwenye watoto wakudanganya hvo......we sema unataka maujuz ila usilete ujinga tunajishusha hadhi yetu wana jf maana huku wapo watu wenye akili zao nenda straight utasaidiwa........shubaaaaaaaaaaaaamit
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.