Hawa maaskofu sadaka zetu ndo zinawatia kiburi,wangekuwa wanapambana kutafuta hela wasingesema hayo madudu
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Aliposhindwa alienda mahakamani na akashinda kesi na uchaguzi ukaamuliwa urudiwe.Hilo ni jambo la kidemokrasia na nililipenda
Kilichonichosha ni kitendo cha yeye kutangaza kujitoa kupitia media na kuitisha maandamano
Najiuliza:
+Sasa kama amejitoa si anabaki kuwa raia Wa kawaida , sasa...
Viwanja inawezekana maana vingi vipi maeneo yaliyo mbali na mji na wakati wa nyuma viwanja havikuwa na bei.Pia labda alikuwa ananua shamba halafu anakuja kuligawa kwa plots ndo maana anaonekana ana plot nyingi sana
Huko kwenye maghorofa sasa waendelee wengine maana kuwa na kaghorofa kamoja tu...
Jose alifanya risk analysis,akaona mechi zilizosalia ni ngumu,akaona option nzuri ni Europa
Akishinda Europa atakuwa amefanikiwa sana mission.
Akifeli atakuwa disappointed sana
Serikali wilaya Momba mkoani Songwe yatangaza kuwepo kwa njaa na kuwataka wakulima wasiuze chakula maana hali ni mbaya.
Huyu Mkuu wa wilaya hivi sio mchochezi? Waziri wa chakula alishakataa akihojiwa na DW Swahili alisema Tanzania hamna njaa.
Chanzo: ITV
Hesabu zinakataa:
37 - 13 = 24 umri wake aliozaa
38 - 37 = 1 umri ambao kama angeanza kuzaa kila Mwaka ndo angefikisha hao watoto
Vinginevyo atakuwa kila akizaa ni mapacha
[/blue]
Misenyi IPO Kagera,makuuu ni Bunazi,8km kutoka Kyaka
Ina vijiji/kata kama Murongo Border,Mtukula Border,Kijumbura,Igurwa ,Businde , Rwambaizi.......
Inategemea utapangiwa wapi
Kila la kheri mkuu
RadioUhuru
Gazeti la Uhuru
Daily News
Habari Leo
TBC zote(TBC1,TBC2,TBC radio,TBC international)
Zote hizo haziwatoshi,muwe mnaridhika bhana
Yote hayo hayawatoshi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.