Ilianza hakuna Katiba Mpya
Mara ikaja ya Warioba ikaishia njiani
Mara ikaja wacha tujenge nchi kwanza.
Naona kabisa tunaelekea maana itafika hatua tutakosa cha kusema zaidi ya kuandika iyo Katiba Mpya. Lakini tatizo ni katiba au usimamizi wa katiba ulipo?
Mfano inapo tokea mtu kavunja Katiba...
Yap ila kwa baadhi ya maeneo lakini kwa mjini kuna kata mbili muhimu ambazo hawajafanyia mabadiriko lizabon na Ruhuwiko izi ndio chimbuko la mgogoro cz hao jamaa ndio kundi moja na izo zilizo fanyiwa kazi juzi jamaa wanagawa chama sana kwa wana nchi hawana mvuto sasa wamebaki kutumia pesa...
Kumbuka kata ya Lizabon waliwai dharau na ikaenda Cdm na this time inaenda tena cdm maana Ruhuwiko na Lizabon chaguo la wananchi limetolewa na ili kuondoa utata Bashiru achunguze ukweli ili ajue ni fitina au ukweli
Inaweza kua kweli Ndumbaru ila uwez kua na diwani ambaye katumia nafasi yake kuanzisha kikundi cha walemavu hewa na pesa kala yeye na mkewe na kakili makosa kamati inamtoa Bashiru anamrudisha alafu unataka wananchi wampokee na anasema kabisa mkoa hauniwezi mi na deal na Taifa......
Shaibu kapigwa chini ila issue ni kuwa jamaa walipigwa chini na vikao vyote kuanzia Wilaya mpaka kamati ya Mkoa na kumbuka upande wa madiwani katiba ya chama inatoa mamlaka yote kwa viongozi wa Mkoa sasa viongozi wa Mkoa wameshafanya maamuzi jamaa wakapiga simu kwa Bashiru kwa mujibu wa maelezo...
Bashiru kama Katibu Mkuu wa CCM inapaswa hutumie vyombo vyako vyote vya usalama wa chama ili upewe taarifa sahihi ya mkoa wa Ruvuma.
Ishu ni kuwa kuna kata zaidi ya nne kamati ya Mkoa ilikwisha kuamua na mchakato wa kuwapa Madiwani watarajiwa barua za uteuzi ulikwisha fanyika mara ghafla...
Pazuri kulingana na taratibu zako za biashara uaminifu na ubunifu wako kwa maana ya kuweza kuwa na bidhaa zinazo hitajika kwa wakati....pia kuweza jibrand biashara ni watu so ni namna utakavyo jiweka.......kwaribu PM kwa maswali mengine
[emoji23] [emoji23] mlianza na madawa issue ime pelekea kiongozi kukimbilia south sasa sina hakika likianza ilo nitapelekea nani mwengine kukimbia,maana mna beep mkipigiwa simu mbatupa na kukimbia badala ya kupikea
Watoto wa Iringwa wanamwita Hemed Pengo!da!R.I.P bro!geeeeez mabovu. Usiponipa changu siimbi.......madogo wana lalamika kaka sa!ngapi tutapika.da!jamaa alikiwa anaweza bana
Hata sijui ni kwa nini ila nahamini kwa jinsi upepo ulivyo humu ndani,kina Silaa wangeenda huko kunakitu kingetengenezwa zaidi ya hiki.ni mawazo yangu tu lakini
haaa! mkija shituka mmesha mpa promo jamaa vyakutosha.iyo ndio cdm bana siasa zao ccm hamtakaa muwaelewe cz kila mtu sasa anahamu ya kumjua jamaa na cv zake so ilo tu tayali. ni gori tosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.