Kampuni ya Earthwise Ferries (T) LTD ambayo imeleta boti ya kisasa MV Bluebird kwa ajili ya safari za Bukoba na Mwanza imepunguza nauli kutoka Tshs 50,000 hadi Tshs 30,000 kuanzia tarehe 11/01/2018.
Boti hiyo ambayo inatumia masaa manne kutoka mwanza kwenda Bukoba, na Bukoba kwenda mwanza...
TV Imani imekuwa haipatikani katika ving'amuzi vya Star Times kwa muda, wateja wa TV Imani walipokuwa wanapiga simu StarTimes idara ya huduma kwa wateja wamekuwa wakipata maelekezo yasiyoridhisha kwani wafanyakazi hao wamekuwa wakiwaambia kwamba TV Imani inapatikana kwa jina lingine wakati hicho...
Nauli imeshushwa sasa hivi ni 30,000 wapigie kwa ajili ya tiket na booking 0782660297
Boti ya kisasa (Speed boat) MV Bluebird imeanza safari zake rasmi leo tarehe 05.01.2018 kwa kutoka bandari ya Mwanza Kaskazini (Mwanza North Port) saa tano asubuhi na imewasili katika bandari ya Bukoba Saa...
Wakuu
Naomba kujuzwa bei ya engine ya Toyota Bb aina ya Engine ni 1NZA050123.
Naomba ushauri ipi nzuri kati ya injini used/mpya pia ambayo ni mswaki na ambayo ni completely
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi ya kazi kwa ajili ya Ofisi ya Baraza la Mapinduzi Zanzibar kama ifuatavyo:-
1. Afisa Utafiti Daraja la II “Nafasi 1”
Sifa za Waombaji:
• Awe ni Mzanzibari.
• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza ya ‘Sayansi Jamii’ katika fani ya Utawala wa Umma au...
Jana kulikuwa na taarifa kutoka Associated Press ikieleza kwamba kuna raia wa Afrika Kusini alikufa akiwa anapanda mlima Kilimanjaro, katika hiyo taarifa mwandishi Cara Anna alisema Mlima Kilimanjaro upo Kenya, hata hivyo leo tarehe 19/07/2016 saa 6.30 A.M wamerekebisha na taarifa yao na kusema...
1. Nataka kuwa na biashara yangu Pamoja na kuwa ni jambo jema kuwa na ndoto hiyo, mameneja waajiri hutafsiri tofauti kabisa. Hawaoni kama una nia ya kufanya kazi bali ni tishio kwao. Hii ni kwasababu waajiri wanahofia unaweza ukaiba taarifa za muhimu.
Kitu cha mwisho ambacho kampuni inataka...
Naiweka kama nilivyoikuta kutoka kwenye blog ya IssaMichuzi "TAARIFA YA MSIBA WA MTANZANIA NCHINI AFRIKA KUSINI
Ni matumaini yangu kuwa nyote muwazima na sie hatujambo huku Bondeni Sauzi.
Maudhui ya barua hii ni kukufahamisheni kuwa kuna Mtanzania kwa jina Shukuru Goyagoya kafariki tarehe...
BET Networks, ambayo ipo chini ya kampuni ya Viacom Inc. imetangaza kumwajiri Kay Madati kama makamu mkuu wa rais (Executive Vice President) na pia kama Chief Digital Officer.
Madati, raia wa Tanzania aliyeishi katika nchi nyingi Afrika, Uingereza na Marekani, ataziongoza timu za BET...
Mr.Joseph Paschal Magesa anasema >>Mimi kama mimi kwanza ni Mkristo safi na mzee wa kanisa na niliondoka nyumbani jana na mke wangu kutoka Arusha kuelekea Dar es salaam, sijui lolote kuhusiana na hicho kitu ila nilipofika maeneo ya Mwanga na Same nikapigiwa simu kwamba kuna nyoka huku ndani ya...
SERIKALI inatarajia kutoa ajira 800,000
kwa vijana kuanzia mwakani
kuliwezesha kundi hilo kuondokana na
utegemezi katika jamii na kuchangia
uchumi wa nchi.
Akizungumza Dar es Salaam jana
wakati wa kongamano la taifa la ajira,
Makamu wa Rais, Dk. Gharib Mohamed
Bilal alisema programu hiyo...
SERIKALI inatarajia kutoa ajira 800,000
kwa vijana kuanzia mwakani
kuliwezesha kundi hilo kuondokana na
utegemezi katika jamii na kuchangia
uchumi wa nchi.
Akizungumza Dar es Salaam jana
wakati wa kongamano la taifa la ajira,
Makamu wa Rais, Dk. Gharib Mohamed
Bilal alisema programu hiyo...
Mahakama ya Mwanzo ya kariakoo imemuhuku kifungo cha miezi tisa jela Bwana Yusuph Ayubu kwa kosa la kujiingizia hela kwa kulaghai kwamba atamtafutia kazi kazi mlalamikaji na matokea yake hakumtafutia kazi.
Habari zaidi tafuta gazeti la Mwananchi 20/02/2013ukurasa wa 14.
N.B
Ndugu zangu...
ANAHITAJIKA MTU AMBAYE ATAKUWA TAYARI KUBADILISHANA KITUO CHA KAZI KUTOKA NMB DAR ES SALAAM AENDE NMB ARUSHA MJINI.
POST YA KUBADILISHANA NA BANK TELLER
Natangauliza shukrani zangu za dhati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.