NGOGO CHINAVACH
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 943
- 368
Kampuni ya Earthwise Ferries (T) LTD ambayo imeleta boti ya kisasa MV Bluebird kwa ajili ya safari za Bukoba na Mwanza imepunguza nauli kutoka Tshs 50,000 hadi Tshs 30,000 kuanzia tarehe 11/01/2018.
Boti hiyo ambayo inatumia masaa manne kutoka mwanza kwenda Bukoba, na Bukoba kwenda mwanza, inauwezo wa kubeba watu 100.
Ratiba ya boti hiyo kwa wiki (11/01/2018 hadi 17/01/2018) hii ni;
Kwa kifupi safari zao zinapishana kwamba akiingia leo Bukoba basi kesho yake anaenda Mwanza.
Kwa mawasiliano unaweza kufika katika ofisi zao zilizopo bandari ya Bukoba au bandari ya Mwanza kaskazini (Mwanza North Port) au mawasiliano +255 764 954 687 au +255 782 660 297
NAULI ni Tshs 30,000
Picha na video zipo hapo chini
Boti hiyo ambayo inatumia masaa manne kutoka mwanza kwenda Bukoba, na Bukoba kwenda mwanza, inauwezo wa kubeba watu 100.
Ratiba ya boti hiyo kwa wiki (11/01/2018 hadi 17/01/2018) hii ni;
- Itaondoka Mwanza kwenda Bukoba saa nne asubuhi (10:00AM) siku ya Alhamisi (11/01/2018), Jumamosi (13/01/2018), Jumatatu (15/01/2018) na Jumatano (17/01/2018)
- Itaondoka Bukoba kwenda mwanza saa saba mchana (13:00) siku ya Ijumaa (12/01/2018), Jumapili (14/01/2018), Jumanne ( 16/01/2018)
Kwa kifupi safari zao zinapishana kwamba akiingia leo Bukoba basi kesho yake anaenda Mwanza.
Kwa mawasiliano unaweza kufika katika ofisi zao zilizopo bandari ya Bukoba au bandari ya Mwanza kaskazini (Mwanza North Port) au mawasiliano +255 764 954 687 au +255 782 660 297
NAULI ni Tshs 30,000
Picha na video zipo hapo chini