Kuna jamaa angu mmoja (kwa sasa ameshatoboa lakini) alikuwa n jamaa angu ile kinoma noma wakat bado tuko kwenye msoto wa maisha...ila ilikuja tokea ye akaenda mkoa mwingine kwa ndugu zake ambako ndo alipopata rehema za MUNGU na kutusua kimaisha.......sasa baada ya kama miaka 4 hivi tukiwa...
Op miaka 50 ya jkt.......824kj kanembwa ya demo...........ego coy pale......kulikuwa na private mmoja anaitwa magesa (R.I.P) hatari saaana....mwendo n wa kuchomeka.......uelekeo American village...........muda wa kwata uso kwa uso na dakanyama(R.I.P) hilo kwata la hatariiii.........tano la...
Wangefanya tu vitu vingine vya maaana.......mambo ya mapinduzi ya viwanda yalishapita toka karne ya 18!! Leo ni karne ya 21!! Now kidooogo wangewekeza kwenye teknolojia kidoogo tungeweza kusogea........mfano ni rwanda wanajaribu hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.