ππππππ πππ ππππ ππππ πππππππ
[emoji404]Kwa akili ya haraka haraka tu!! Team imeshinda mechi mbili za kimataifa na kufuzu hatua inayofuata lkn hawakupewa hata senti kumi ya MOTISHA!!!
[emoji404]Ndo waje wapewe MOTISHA milioni 10 kwenye league tena mechi waliotoka sare!!!
[emoji404]Biashara...
Je, wewe mdau wa JF upo kundi gani?
Bata:
Kujivutavuta, hufanya kazi polepole na kuendekeza uvivu mpaka mambo ya kikundi yanazorota au kufa kabisa.
Bundi:
Mtu anayefikiria ana akili kuliko wote kwenye kikundi- hutumia lugha ngumu na haeleweki
Chura:
Hurudiarudia kitu kile kile mpaka...
MTANI UNATUANGUSHA SANA.
Simba: Andaeni Timu
Yanga: Mtakoma Chama kaondoka
Simba: Andaeni Timu
Yanga: Trh 28 kutakuwa na Suprise
Simba: Andaeni Timu
Yanga: Suprise ni Luis Miquissone.
Simba: Andaeni Timu msije kutulaumu
Yanga: Tumemchukua Msukule.
Simba: Msukule hatacheza andaeni Timu...
Yanga imemuuza Kisinda kwa RS Berkane kwa Dola 150,000 (Sawa na Tsh MIL 347.8)
Berkane pia watagharamia kambi ya 'Pre Season' ya Yanga itakayowekwa katika kituo cha michezo cha KING Mohammed VI, Morocco ikiwa ni sehemu ya makubaliano ya uhamisho wa Kisinda.
Shirikisho la mpira wa Miguu barani Afrika CAF limepanga wiki ijayo kuvitembelea viwanja vyote vitakavyotumika kwenye michezo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kuona uwezekano wa kuvifanyia majaribio ya Teknolojia ya VAR.
Awali technilojia hiyo ilikuwa ikitumika kwenye mchezo wa...
Wachezaji nyota wa simba Sc, Clatous chama na luis Miquisson wamechaguliwa kwenye kikosi bora cha week, kwa mujibu wa CAF
Hii ni mara ya tatu kwa luis kuingia kwenye kikosi icho bila shaka anaweza kuwa mchezaji bora wa mashindano haya.
Kamati ya Nidhamu ya Klabu ya Simba chini ya mwenyekiti wake Suleiman Kova imetangaza hukumu ya kiungo wa klabu hiyo, Jonas Mkude ambaye alisimamishwa na uongozi kwa makosa ya utovu wa nidhamu.
Kwa mujibu a Kova, haya ndiyo makosa matatu aliyokuwa akituhumiwa kuyafanya, pamoja na hukumu zake...
Kuna vita ya maneno kati ya Davido na Burnaboy, baada ya Davido kusema yeye na Wizkid ndiyo wasanii wakubwa wa muda wote.
Sasa Burnaboy ameijibu kauli hiyo ya Davido kwa kusema "Kila mtu anajua huwezi kucheza mpira unatutia aibu kwenye timu, ila baba yako amekununua"
Je wadau wa JF ni kweli...
RASMI: Mtangazaji wa EFM Maulid Kitenge ahamia Wasafi FM, Atoka na wenzake wawili na kumvuta Eddo Kumwembe.
Mtangazaji maarufu wa Habari za Michezo nchini Tanzania, Maulid Kitenge ametangaza rasmi kuwa ameachana na Kituo cha Redio cha EFM alichokuwa anafanyia kazi na kujiunga Wasaο¬ FM, redio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.